The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Weka hapa tufaidi wengiKuna mambo kibao ya kufanya kama una millioni kumi hapo nikusaidie wazo litakalo kupeleka international hata bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hapa tufaidi wengiKuna mambo kibao ya kufanya kama una millioni kumi hapo nikusaidie wazo litakalo kupeleka international hata bure
Ndo maana mkuu Mimi napenda wazo lijikite kwenye Technology,huko kuna pesa!Yah kabsaa, afu mara nyingi ni kwenye issue za technology, kuna mbunge hapa tz aliwahi kusema kuwa hapa bongo mabilionea wetu wataishia kwenye uwekezaj wa vinywaji na vyakula na uchumi wa nyumba, ila technology agusi mtu😅😅
Acha perepeche za wanasiasa we mamaWazo la biashara ni wewe mwenyewe
Hapana,kwa sasa ntakuongopea mkuu,na mimi sipendi lawama siwezi kukukabidhi kwa mtu,maana itabidi kwa uchache kujiweka sawa tutumie mpaka m200,ila tukikaa sawa,ni kuingiza hela tu,maana mitambo haiozi.VETA inayofundisha mambo ya foundry ni VETA MOSHI tu.Hii kitu ndo nataka mkuu,hebu fikiria namna ya kuacha kazi tuwekeze nguvu huko mkuu
Mkuu nipo tayari kununua wazo Tsh 50 milioni endapo hilo wazo likiwa na ufanisi wa Asilimia 98%,Jambo la Msingi ni makubaliano tu na mwenye wazo!Watu wana ideas ila hawawezi kuzitekeleza wawe matajiri wanasubiri mtu atangaze anatafuta idea wamuuzie 😅
Nchi za nje kuna platforms nyingi ambazo mtu mwenye wazo la ujasiriamali anawasilisha wazo kisha matajiri wanakubali kufinance wazo zima na watachukua faida kwa muda fulani kabla hajamuachia kampuni mwenye wazo.
Mfano Shark tank.
Ila bongo ni kuviziana Jamiiforums au siyo 😅😅 mabenki yanakopesha wasanii wanashindwa kudhamini ndoto za hawa wenye ideas
Mkuu hebu Tafuta siku na muda tuonane,kuhusu mtaji hilo Wala lisikupe taabu,nimejipanga mkuu!Hapana,kwa sasa ntakuongopea mkuu,na mimi sipendi lawama siwezi kukukabidhi kwa mtu,maana itabidi kwa uchache kujiweka sawa tutumie mpaka m200,ila tukikaa sawa,ni kuingiza hela tu,maana mitambo haiozi.VETA inayofundisha mambo ya foundry ni VETA MOSHI tu.
Poa ila kama ungekuwa level kubwa i swear hata 500m bado ni ndogoMtaji wa 1 M hiyo siyo biashara mkuu,huo ni umachinga!,Hizo levo nishavuka!
Mkuu kiwanda Cha Sukari na haya Makando kando ya Siasa za Tanzania hatutachoma mtaji?Njoo tuanzishe kiwanda cha sukari.. mi Bado najichanga soon nitafungua
kama unaona breki za treni za TRL,au man hole cover,,ile mifuniko barabarani wanafunika mashimo ya mifereji ya maji machafu,au hammer za kubonda kokoto, impeller,impeller case za pump kubwa za viwandani,na vipuri vya viwanda vya miwa na cement..Mkuu nipo tayari kununua wazo Tsh 50 milioni endapo hilo wazo likiwa na ufanisi wa Asilimia 98%,Jambo la Msingi ni makubaliano tu na mwenye wazo!
Sipo kwenye levo kubwa mkuu,nami pia nadunduliza tu ndiyo maana sitaki kukaa na pesa nataka ifanye kazi!Poa ila kama ungekuwa level kubwa i swear hata 500m bado ni ndogo
Ila poa umeleta madharau naomba tuishie hapo mkuu.
Hapa itakuwa masihara ni pm nikupe nambaWeka hapa tufaidi wengi
Embu toka nje ya dar uje huku kanda ya ziwaSipo kwenye levo kubwa mkuu,nami pia nadunduliza tu ndiyo maana sitaki kukaa na pesa nataka ifanye kazi!
Kijana unakitu wewe ili mtu uwe strong lazima uwe na biashara zaidi ya moja hata kama nyengine ni za lakiPoa ila kama ungekuwa level kubwa i swear hata 500m bado ni ndogo
Ila poa umeleta madharau naomba tuishie hapo mkuu.