TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
- #41
Dadavua mkuunjegere ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dadavua mkuunjegere ndugu
Sawa mkuuNtumie email:afredrick59@gmail.com au 0655 308494 tuwasiliane kuna idea nyingi Nishati na It
Ninazo idea nyingi sana hata danguro litaingiza pesa zakutoshaJe,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!
Any way
Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!
Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!
Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!
Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!
BIASHARA AMBAZO SIZITAKI
1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)
2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)
Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!
Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!
Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Mkuu siwezi kuiba Idea ya mtu,ninachofanya ni kuwasaidia Vijana wenzangu Ili tugawane umasikiniSIo kwamba unataka kuiba idea utokomee nayo?
Alafu hizo ideas ulizozikataa em nipe essay nini shida ? Ulishaaahi zifanya zote?
Mim naonaga wanaongea, ila duh kuja na new idea ni issue nenHakuna wazo jipya biashara nyingi ni zile zile isipokuwa inatakiwa upate mtu mwenye kujua siri za mifumo mipya wanayohitaji watu katika kufanya biashara hizo hizo zinazofanywa na wengi
Kumbuka watu walishafanya utafiti ikaja kugundulika pamoja na ukuaji mkubwa wa technology lakini binadamu ameweza kutumia asilimia 5 tu ya uwezo wake
Sasa ukiona mtu anafanikiwa biashara flani ujue katumia asilimia 5 ya mawazo tu 95% ya mawazo bado hayajatumika
Mkuu nahitaji wazo la Biashara konki ambalo nikiweka mtaji let's wa milioni 300 Kwa mwaka tuwe na faida ya Billion 1Mimi ninao uzoefu wa biashara ya dagaa kutoka ziwa victoria mwanza nina uzoefu wa dagaa za binaadam, furu. na pia zile za mifugo. pamoja na masoko yake
Dadavua mkuu!Platform ya kutoa mikopo kwa ajili ya online betting 😏
Kiasi kisichopungua Tsh 500 milioniUna mtaji kiasi gani tuanzie hapo kwanza
Madam hali yako inaendelea vizuri i hope🙏Huo ni mtaji wake,.
Nazingumzia hiyo business plan anaitaka kwa bei gani?
Nimetoka kidogo, ila nitakuchekiHili kun sehem nililipeka na factor kubwa ilikuwa yale majumba ya nssf pale vikunai. Jamaa kama hela anayo na kweli muhitaji, ataishi ndoto zake kuhus hilo.
Dan Zwangendaba nakutafuta sana ndugu yangu
Si kataj m 500Una mtaji kiasi gani tuanzie hapo kwanza
Siamimini katika degree naamini katika akili, kama una copy na kupaste basi hujue hujakomaa akili.Brother,
Naitwa ✍️ Dr am 4 real PhD,
Nipo dar es salaam Tanzania 🇹🇿 Mimi ni mtendaji mkuu (management)
Nina data Nina files Nina MAARIFA utajiri kwa MAARIFA niliyo nayo ni ku copy na ku paste..
Mimi sito kutafuta ikikupendeza zama inbox nicheki wewe then Mimi nta present Kwako with viviv details.
Tunakosa information muhimu Sana za biashara Nina degree Zaid ya moja nime graduate practically kwa Sasa kwenye hii industry kwangu ni ku copy na ku paste utajiri.