Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Hakuna wazo jipya biashara nyingi ni zile zile isipokuwa inatakiwa upate mtu mwenye kujua siri za mifumo mipya wanayohitaji watu katika kufanya biashara hizo hizo zinazofanywa na wengi
Kumbuka watu walishafanya utafiti ikaja kugundulika pamoja na ukuaji mkubwa wa technology lakini binadamu ameweza kutumia asilimia 5 tu ya uwezo wake
Sasa ukiona mtu anafanikiwa biashara flani ujue katumia asilimia 5 ya mawazo tu 95% ya mawazo bado hayajatumika
True brother,
Ni copy na ku paste tuu..
 
Kwanza kabla na mimi sijatoa ushauri wangu ningependa kukushauri jambo moja kwa hicho kiasi ulichokitaja ni hela nyingi sana unaweza ukaigawa hata mara tatu au nne kisha ndio ungetafuta watu tofauti tofauti wenye mawazo mazuri za biashara sasa hapo baada ya kuchuja na kuangalia yale utakayopenda kulingana na idadi ya mgawanyo ulioamua hapo unaweza kuingiza mitaji yako kwa kuigawa kwa asilimia kwa kila mradi kulingana na uhitaji wake. Hii itakusaidia kuepukana na kupata hasara kubwa au kupoteza mtaji wote kwa mkupuo pale ambapo itatojea changamoto au hasara kwenye mradi husika. Pili unapokuwa umegawanya mtaji kwa miradi tofauti itakusaidia kujua ni wapi panapohitajika kuongezewa nguvu na pia ni wapi panapohitajiwa kupunguziwa nguvu na hii itakusaidia kupata uzoefu na kujua mrad gani uusitishe kulingana na matokeo utakayayapata pia itakusaidia kuweza kuwajua watu sahihi wa kuweza kuendelea nao kwenye miradi mingine hata kama ile ya mwanzo haikufanya vizur.
 
Niwasaidie Vijana wazo..
1.Plastics recycling
2.Kubleach Mafuta ya Mawese (
3.Kufanya assembly ya Solar panels
4.Kukamua Miwa kupata Sukari guru
5.Kufanya assembly ya Pikipiki na Bajaj zisizotumia mafuta
Yes,mawazo kama haya ndo ninapenda kuyaona,mkuu hebu jazia nyama au njoo Pm!
 
Brother,
Naitwa ✍️ Dr am 4 real PhD,
Nipo dar es salaam Tanzania 🇹🇿 Mimi ni mtendaji mkuu (management)

Nina data Nina files Nina MAARIFA utajiri kwa MAARIFA niliyo nayo ni ku copy na ku paste..

Mimi sito kutafuta ikikupendeza zama inbox nicheki wewe then Mimi nta present Kwako with viviv details.

Tunakosa information muhimu Sana za biashara Nina degree Zaid ya moja nime graduate practically kwa Sasa kwenye hii industry kwangu ni ku copy na ku paste utajiri.
Mkuu ingia Pm nipe wazo hilo la Biashara,nipo tayari kutoa pesa hata kesho kama wazo litakuwa linatekekezeka na Lina uhakika wa maokoto!
 
Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!


Any way


Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!

Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!

Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!

Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!

BIASHARA AMBAZO SIZITAKI

1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)

2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)

Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!

Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!

Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
SIo kwamba unataka kuiba idea utokomee nayo?

Alafu hizo ideas ulizozikataa em nipe essay nini shida ? Ulishaaahi zifanya zote?
 
Kwanza kabla na mimi sijatoa ushauri wangu ningependa kukushauri jambo moja kwa hicho kiasi ulichokitaja ni hela nyingi sana unaweza ukaigawa hata mara tatu au nne kisha ndio ungetafuta watu tofauti tofauti wenye mawazo mazuri za biashara sasa hapo baada ya kuchuja na kuangalia yale utakayopenda kulingana na idadi ya mgawanyo ulioamua hapo unaweza kuingiza mitaji yako kwa kuigawa kwa asilimia kwa kila mradi kulingana na uhitaji wake. Hii itakusaidia kuepukana na kupata hasara kubwa au kupoteza mtaji wote kwa mkupuo pale ambapo itatojea changamoto au hasara kwenye mradi husika. Pili unapokuwa umegawanya mtaji kwa miradi tofauti itakusaidia kujua ni wapi panapohitajika kuongezewa nguvu na pia ni wapi panapohitajiwa kupunguziwa nguvu na hii itakusaidia kupata uzoefu na kujua mrad gani uusitishe kulingana na matokeo utakayayapata pia itakusaidia kuweza kuwajua watu sahihi wa kuweza kuendelea nao kwenye miradi mingine hata kama ile ya mwanzo haikufanya vizur.
Ushauri wako nimeupokea Kwa mikono miwili mkuu,Ahsante sana!
 
Niwasaidie Vijana wazo..
1.Plastics recycling
2.Kubleach Mafuta ya Mawese (
3.Kufanya assembly ya Solar panels
4.Kukamua Miwa kupata Sukari guru
5.Kufanya assembly ya Pikipiki na Bajaj zisizotumia mafuta
Ufafanuzi kwenye 1 & 5 kuhusu mtaji na masoko
 
Back
Top Bottom