Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Kaa ukijua unavotaka kuwa super oriented katika biashara, ili ufanikiwe uwe mogul, usiwe mtu wa kuziepuka fursa ambazo zipo attached au zilizofungamana na kazi zako.
Mfano jifunze na upende usafirashaji, mawasiliano, hizi ndiyo big transformations factors katika ukuaji wa shughuli yako.....

Nina mawazo ya tourism innovation katika mtaji wako kwa maeneo yenye kasi ya Utalii nchini e.g Arusha, kilimanjaro and Zanzibar people are making cool cash out there..... hit up my PM if interested na tourism industry.
 
Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!


Any way


Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!

Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!

Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!

Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!

BIASHARA AMBAZO SIZITAKI

1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)

2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)

Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!

Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!

Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Mcheki jamaa mmoja anaitwa Mafwele, akupe kazi. Hizo kazi zake ukitaka kuwa tajiri ni dk 0
 
Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!


Any way


Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!

Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!

Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!

Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!

BIASHARA AMBAZO SIZITAKI

1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)

2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)

Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!

Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!

Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Hiyo Tsh 500m uliipate? Wafanyabiashara wakipewa wazo zuri wanalichukua na kum-dump mtoa wazo ,je kabla ya kupewa wazo kuna terms and condition za kisheria mtaingia? Na ulilikataaa then kwa nyuma ukalichukua na kulifanyia kazi yeye atajuaje?
 
Watu wana ideas ila hawawezi kuzitekeleza wawe matajiri wanasubiri mtu atangaze anatafuta idea wamuuzie πŸ˜…

Nchi za nje kuna platforms nyingi ambazo mtu mwenye wazo la ujasiriamali anawasilisha wazo kisha matajiri wanakubali kufinance wazo zima na watachukua faida kwa muda fulani kabla hajamuachia kampuni mwenye wazo.

Mfano Shark tank.

Ila bongo ni kuviziana Jamiiforums au siyo πŸ˜…πŸ˜… mabenki yanakopesha wasanii wanashindwa kudhamini ndoto za hawa wenye ideas
Unakopa afu mwisho wa siku tako linajipitisha pitisha unahonga.
 
Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!


Any way


Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!

Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!

Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!

Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!

BIASHARA AMBAZO SIZITAKI

1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)

2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)

Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!

Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!

Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Mimi apaa njoo tuongee nmekosa mtaji tuπŸ₯²πŸ™Œ
 
Wazo lako ni zuri sana,uwe unatania au hautanii watu humu jukwaani ila tunahitaji mada za namna hii kila siku ili watu waweze Kujikomboa na Umaskini wa kutisha.

Mimi nakushauri wekeza katika sekta ya Madini,binafsi nipo kwenye sekta hii na naona faida yake.

Sekta ya Madini inaweza kuifanya hiyo 500m kuwa 5B ndani ya miaka 2 hadi 3.

Wazo la Kwanza tafuta maeneo yenye Madini ya Kimkakati (Critical Minerals)omba Leseni ya utafiti mkubwa au Uchimbaji mdogo,wekeza kiasi kidogo cha kutoa sampuli za kupeleka maabara,majibu yakitoka vizuri na miamba ikaonekana tafuta wabia kutoka Korea,China, Australia au Canada.

Madini ya Kimkakati ni kama;
Copper
Rare Earth Elements
Lithium
Nickel
Graphite.

Wazo la pili tafuta sehemu nzuri yenye uzalishaji wa Dhahabu,nunua Karasha 1 au 2, tengeneza vat leaching plant, tengeneza na elution plant kazi yako itakuwa kukusanya makinikia yenye ppm nzuri na kuozesha kwenye plant zako.

Karibu Katavi
Wabia wanapatikanaje mkuu? Naomba share platform yeyote ambayo naweza kupata wabia ndugu yangu ntashukuru sanaπŸ™
 
Wazo lako ni zuri sana,uwe unatania au hautanii watu humu jukwaani ila tunahitaji mada za namna hii kila siku ili watu waweze Kujikomboa na Umaskini wa kutisha.

Mimi nakushauri wekeza katika sekta ya Madini,binafsi nipo kwenye sekta hii na naona faida yake.

Sekta ya Madini inaweza kuifanya hiyo 500m kuwa 5B ndani ya miaka 2 hadi 3.

Wazo la Kwanza tafuta maeneo yenye Madini ya Kimkakati (Critical Minerals)omba Leseni ya utafiti mkubwa au Uchimbaji mdogo,wekeza kiasi kidogo cha kutoa sampuli za kupeleka maabara,majibu yakitoka vizuri na miamba ikaonekana tafuta wabia kutoka Korea,China, Australia au Canada.

Madini ya Kimkakati ni kama;
Copper
Rare Earth Elements
Lithium
Nickel
Graphite.

Wazo la pili tafuta sehemu nzuri yenye uzalishaji wa Dhahabu,nunua Karasha 1 au 2, tengeneza vat leaching plant, tengeneza na elution plant kazi yako itakuwa kukusanya makinikia yenye ppm nzuri na kuozesha kwenye plant zako.

Karibu Katavi
amani sana, uko makini.
 
Njoo tununue mlima wa mawe tuweke mashine za kupasua kokoto na kuchimba mawe natumaini wajenzi wote utawauzia na kupata super profit mpaka na wajukuu zako.
 
1. Materials testing laboratory kwa ajili ya ku test materials kwenye miradi ya barabara, nyumba, mabwawa etc (Materials Engineers wengine inabidi wapeleke samples South Africa kupima)

2. Olympic size swimming pool (Olympic Aquatic centre) ..Training centre kwa ajili ya ku train wana michezo wa uogeleaji kutokea East Africa yote na nchi nyingine...kutakuwepo na hostel kwa wanaotoka mbali....kiwanja na jengo lipo
 
Brother,
Naitwa ✍️ Dr am 4 real PhD,
Nipo dar es salaam Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Mimi ni mtendaji mkuu (management)

Nina data Nina files Nina MAARIFA utajiri kwa MAARIFA niliyo nayo ni ku copy na ku paste..

Mimi sito kutafuta ikikupendeza zama inbox nicheki wewe then Mimi nta present Kwako with viviv details.

Tunakosa information muhimu Sana za biashara Nina degree Zaid ya moja nime graduate practically kwa Sasa kwenye hii industry kwangu ni ku copy na ku paste utajiri.
Ila watu πŸ˜„
 
Siamimini katika degree naamini katika akili, kama una copy na kupaste basi hujue hujakomaa akili.
Siunaona sasa shida una degree ila akili unayo hata hujamuelewa tuaxhe kulopoka kama gatuna kitu tutlie tu πŸ˜„
 
Back
Top Bottom