The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
π π π π π labda apindue wilaya moja tu Tanzania tena akaze buti haswa.Mkuu hii issue ya tanesco kwa bajeti ya million mia kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π labda apindue wilaya moja tu Tanzania tena akaze buti haswa.Mkuu hii issue ya tanesco kwa bajeti ya million mia kweli?
Mcheki jamaa mmoja anaitwa Mafwele, akupe kazi. Hizo kazi zake ukitaka kuwa tajiri ni dk 0Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!
Any way
Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!
Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!
Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!
Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!
BIASHARA AMBAZO SIZITAKI
1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)
2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)
Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!
Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!
Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Hiyo Tsh 500m uliipate? Wafanyabiashara wakipewa wazo zuri wanalichukua na kum-dump mtoa wazo ,je kabla ya kupewa wazo kuna terms and condition za kisheria mtaingia? Na ulilikataaa then kwa nyuma ukalichukua na kulifanyia kazi yeye atajuaje?Je,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!
Any way
Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!
Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!
Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!
Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!
BIASHARA AMBAZO SIZITAKI
1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)
2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)
Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!
Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!
Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Unakopa afu mwisho wa siku tako linajipitisha pitisha unahonga.Watu wana ideas ila hawawezi kuzitekeleza wawe matajiri wanasubiri mtu atangaze anatafuta idea wamuuzie π
Nchi za nje kuna platforms nyingi ambazo mtu mwenye wazo la ujasiriamali anawasilisha wazo kisha matajiri wanakubali kufinance wazo zima na watachukua faida kwa muda fulani kabla hajamuachia kampuni mwenye wazo.
Mfano Shark tank.
Ila bongo ni kuviziana Jamiiforums au siyo π π mabenki yanakopesha wasanii wanashindwa kudhamini ndoto za hawa wenye ideas
Mimi apaa njoo tuongee nmekosa mtaji tuπ₯²πJe,unafahamu Tooth Pick Kwa Kiswahili inaitwa "Kimbaka",Kuna muda nawashangaa sana BAKITA na haya Majina Yao!
Any way
Wakuu nahitaji mtu yeyote mwenye wazo la Kibiashara ambalo liko tofauti na biashara ambazo zimezoeleka hapa Bongo!,Binafsi ninafanya biashara ya nafaka,pia Nina mashamba makubwa nalima,hivyo nikaona angalau tusaidiane na Vijana wenzangu ambao Wana mawazo na wameshindwa kuyafanyia kazi!
Nahitaji wazo hasa likiwa la kiteknolojia itakuwa poa sana!
Mtu aje na wazo na alitolee ufafanuzi namna wazo lake hilo litakavyoisaidia Tanzania au Afrika Mashariki kutatua changamoto,sitaki tuanze mbali Bali nataka tuanzie hapa hapa Tanzania Then tutafika Afrika Mashariki yote!
Binafsi nitatoa kiasi chote kitakachohitajika,pesa ipo ya kutosha na nimejipanga Kwa yeyote mwenye wazo zuri la biashara nzuri,maana kila nikaingalia naona wafanya biashara wengi ni kama wanaigana tu!
BIASHARA AMBAZO SIZITAKI
1.Biashara ya Nafaka (Hii naifanya na naijua nje ndani)
2.Biashara ya Usafiri
3.Biashara ya Viwanda vya Maji na Juisi
4.Biashara ya Mavazi
5.Biashara ya Nyumba au Real Estate (Hii naifanya na naifahamu nje ndani)
6.Biashara ya Wanyama (Ufugaji)
Akitokea mtu mwenye wazo la Biashara ya kiteknolojia nitafurahi zaidi!
Mtaji nilionao haupungui Tsh 500 milioni!
Kijana mwenye Idea hebu Lete wazo lako naamini tukaunganisha nguvu tutaweza!
Wabia wanapatikanaje mkuu? Naomba share platform yeyote ambayo naweza kupata wabia ndugu yangu ntashukuru sanaπWazo lako ni zuri sana,uwe unatania au hautanii watu humu jukwaani ila tunahitaji mada za namna hii kila siku ili watu waweze Kujikomboa na Umaskini wa kutisha.
Mimi nakushauri wekeza katika sekta ya Madini,binafsi nipo kwenye sekta hii na naona faida yake.
Sekta ya Madini inaweza kuifanya hiyo 500m kuwa 5B ndani ya miaka 2 hadi 3.
Wazo la Kwanza tafuta maeneo yenye Madini ya Kimkakati (Critical Minerals)omba Leseni ya utafiti mkubwa au Uchimbaji mdogo,wekeza kiasi kidogo cha kutoa sampuli za kupeleka maabara,majibu yakitoka vizuri na miamba ikaonekana tafuta wabia kutoka Korea,China, Australia au Canada.
Madini ya Kimkakati ni kama;
Copper
Rare Earth Elements
Lithium
Nickel
Graphite.
Wazo la pili tafuta sehemu nzuri yenye uzalishaji wa Dhahabu,nunua Karasha 1 au 2, tengeneza vat leaching plant, tengeneza na elution plant kazi yako itakuwa kukusanya makinikia yenye ppm nzuri na kuozesha kwenye plant zako.
Karibu Katavi
amani sana, uko makini.Wazo lako ni zuri sana,uwe unatania au hautanii watu humu jukwaani ila tunahitaji mada za namna hii kila siku ili watu waweze Kujikomboa na Umaskini wa kutisha.
Mimi nakushauri wekeza katika sekta ya Madini,binafsi nipo kwenye sekta hii na naona faida yake.
Sekta ya Madini inaweza kuifanya hiyo 500m kuwa 5B ndani ya miaka 2 hadi 3.
Wazo la Kwanza tafuta maeneo yenye Madini ya Kimkakati (Critical Minerals)omba Leseni ya utafiti mkubwa au Uchimbaji mdogo,wekeza kiasi kidogo cha kutoa sampuli za kupeleka maabara,majibu yakitoka vizuri na miamba ikaonekana tafuta wabia kutoka Korea,China, Australia au Canada.
Madini ya Kimkakati ni kama;
Copper
Rare Earth Elements
Lithium
Nickel
Graphite.
Wazo la pili tafuta sehemu nzuri yenye uzalishaji wa Dhahabu,nunua Karasha 1 au 2, tengeneza vat leaching plant, tengeneza na elution plant kazi yako itakuwa kukusanya makinikia yenye ppm nzuri na kuozesha kwenye plant zako.
Karibu Katavi
Tukafungue kiwanda cha pombe kali moshi π€£ tunafungua na kingine kidogo kwq ajili ya kusindika kitimoto
Skirt know how to work on business hapa njoo wewe ambaye bado una wazo.Nyuzi kama hizi ni ngumu kukuta sketi na hata ikikatiza inajipitisha tu π
Ila watu πBrother,
Naitwa βοΈ Dr am 4 real PhD,
Nipo dar es salaam Tanzania πΉπΏ Mimi ni mtendaji mkuu (management)
Nina data Nina files Nina MAARIFA utajiri kwa MAARIFA niliyo nayo ni ku copy na ku paste..
Mimi sito kutafuta ikikupendeza zama inbox nicheki wewe then Mimi nta present Kwako with viviv details.
Tunakosa information muhimu Sana za biashara Nina degree Zaid ya moja nime graduate practically kwa Sasa kwenye hii industry kwangu ni ku copy na ku paste utajiri.
Siunaona sasa shida una degree ila akili unayo hata hujamuelewa tuaxhe kulopoka kama gatuna kitu tutlie tu πSiamimini katika degree naamini katika akili, kama una copy na kupaste basi hujue hujakomaa akili.