Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Sawa wewe umejifunza kingereza cha nchi ganiSawa. Lengo kubwa ni kuongea na kusikia. Kuandika ni kwa kidogo sana. But kusikiliza ni bora kuliko vyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wewe umejifunza kingereza cha nchi ganiSawa. Lengo kubwa ni kuongea na kusikia. Kuandika ni kwa kidogo sana. But kusikiliza ni bora kuliko vyote.
Cheki na hamorapaHabari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Ungekuwa KE ungepata watu wa kutosha kufanya nao mazoezi.Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
Mzee wangu ali kuwa kampuni fulani kakola, na wali kuwa Wana pewa vitabu vya kiingereza.Hapo naona saa hii utakuwa na accent ya waingereza 😁... Nina fluency ya kueleweka Ila sina kiingereza cha kutisha katika mazungumzo ya kawaida. St. Kayumba imeniharibu
Congrats pia mkuu maana lugha ni muhim sana kwa baadhi ya fursa
Job true trueKazi kweli kweli
Hii ni baada ya kukutana na huyu shemeji yenu aliyenifanya niandike uzi huu.
Siko tena emotional. Sicheki, kukasirika labda kutabasamu.
Mimi kuna kipindi nilikuwa naona dunia haina maana. Nilikuwa sili kabisa.
Nishawahi uguza mdada watu wiki mbili, nalisha, ogesha, valisha gharama zote juu yangu. Ila sasa nilichoambulia ni hatari.
Mi nshajiharibu kisaikolojia. Na sitaki kupona.
Kwemaa Mkuu....Hongera sanaKwema mkuu😀😄😄
Acha utumwa wa akili, badala ujifunze computer programming?Habari zenu wakuu?
Nimekuwa nikijifunza english kwa mwaka sasa. Hasa pronouncing and listening skills.
Nimefanikiwa kwa kiwango kadhaa lakini changamoto kubwa ni kufanya mazoezi ya kutamka peke yangu. Watu ambao nimekuwa nikiwataka tuwe tunazungumza wananiona kama nimechanganyikiwa. Anyway, they don't know why I need to be fluent.
If you need someone to speak english with even on the phone or face to face and learning together, then am here.
If interested, please dm me
Gender : Male
Age : 25
Way of learning : listening to podcast, interview, online class, watching movies and reading
It is up to him..Mimi nimemrahisishia kazi😂 mpenzi.Yes! I can do it 😉😅
Nataka siku tupige kingereza tupu Mimi na wewe kupitia call nione ujuba wako kwenye kutema Yai kama upo fluent with a confindence , papatupapatu kama Mimi au Kihuni kama Maghayo The MongoOngea nae mjubaz, wewe piga kisungura hata ki mexico kita panda.