Nahitaji mume mwema jamani

Nahitaji mume mwema jamani

Binti waume wema JF wapo wee ambatanisha CV yako ya masuala ya uchumba na mapenzi kwa ujumla in A4 format na passport size tatu za karibuni...
 
Habari zenu, mimi nahitaji mwanaume mwema, mwenye heshima,asiyepiga ovyo na anayejua kupenda wa kunioa. Asilimia kubwa ya wanaume ninaowaona huku mtaani wameoa au wana msululu wa wanawake,sasa mwana jf kama unajijua una sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema nijibu. Mimi Nina uhakika ntakuwa mke mwema🙂

Vp ulishapata mume ? kama bado nipm nijue uko serious mi nimejitokeza kwa kuchelewa kuepusha msongano awali. Nipm tuwasiliane
 
Check me at(abinalakipake@yahoo.com) ninatafuta mke wa kuoa Seriouz
 
Habari zenu, mimi nahitaji mwanaume mwema, mwenye heshima,asiyepiga ovyo na anayejua kupenda wa kunioa. Asilimia kubwa ya wanaume ninaowaona huku mtaani wameoa au wana msululu wa wanawake,sasa mwana jf kama unajijua una sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema nijibu. Mimi Nina uhakika ntakuwa mke mwema🙂

Ungeniwahi mimi maana hapa niko brand new ukichelewa nitakuwa USED
 
habari zenu, mimi nahitaji mwanaume mwema, mwenye heshima,asiyepiga ovyo na anayejua kupenda wa kunioa. Asilimia kubwa ya wanaume ninaowaona huku mtaani wameoa au wana msululu wa wanawake,sasa mwana jf kama unajijua una sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema nijibu. Mimi nina uhakika ntakuwa mke mwema🙂

nutumie taarifa zako muhimu
 
Habari zenu, mimi nahitaji mwanaume mwema, mwenye heshima,asiyepiga ovyo na anayejua kupenda wa kunioa. Asilimia kubwa ya wanaume ninaowaona huku mtaani wameoa au wana msululu wa wanawake,sasa mwana jf kama unajijua una sifa hasa ya kuja kuwa mume mwema nijibu. Mimi Nina uhakika ntakuwa mke mwema🙂
Wewe unataka mwanaume mwema. Je wewe ni mwema pia?
 
Asante kwa mchango wenu, hata mimi nasali. Nimejjijua kwamba ni mke mwema kwa kutumia standard ya biblia

Kama na wewe unasifa zifuatazo ni PM:-
1. portable
2. mrembo
3. una fedha kiaina
4. huna mtoto
5. huna magonjwa ya kurithi wala ukimwi
 
Back
Top Bottom