Nahitaji mwanamke aliyezaliwa kati ya 1982 mpaka 1970

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ kama mie tu, bila usaidizi wa simu mpaka leo ningekua na ngwakwa
Nakwambiaje humu wamejaa wapiga nyetto Ni vile wanaleta kujikuta watu wa kuwala mademu.
Trust Me Komred ktk Programming .... Nyetto ni taifa Kubwa humu ndani.
 
Yupo ana watoto wawili nikupe???
Tuma kwanza laki moja tuone kama pesa ipo kweli isijekuwa wa kusikilizia ishu
 
Mwanamke awe na miaka yale 40, tena bila virus vya ukimwi.plus hela yake na shape yake na tako juu.aje adate kijana wa miaka 28 kweli?

Wanawake wa umri huo nao wanataka wazee wenzao wapumzike
Pambana na wenzio wa 2000 mpeane stress na uti huko
 
Mwanamke awe na miaka yale 40 .tena bila virus vya ukimwi.plus hela yake na shape yake na tako juu.aje adate kijana wa miaka 28 kweli??
Wanawake wa umri huo nao wanataka wazee wenzao wapumzike
Pambana na wenzio wa 2000 mpeane stress na uti huko
Dooooh
 
😲
 
Mwanamke awe na miaka yale 40 .tena bila virus vya ukimwi.plus hela yake na shape yake na tako juu.aje adate kijana wa miaka 28 kweli??
Wanawake wa umri huo nao wanataka wazee wenzao wapumzike
Pambana na wenzio wa 2000 mpeane stress na uti huko
Yesu...πŸ™†β€β™‚οΈ
 
Kuishi. Ila cha kwanza nikuzagamuana.
AKA kumuonja kwanza. Ila na yenyewe point. Usije jichanganya kumbe hamna kitu. Ila sasa hako ka umri na mtu wa miaka hiyo dogo! Mbona sekeseke! Ujue huyo anakuchora hadi unyayo
 
Unataka vikongwe 😝😝😹😹alfu ww 28 utapigwa makofi hadharani ww πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…