Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Kaka yangu tatizo lako si umasikini ulio nao bali ni changamoto ulizo zipitia ndio zimekufanya uamini hivyo kwamba umasikini umasikini sasa nakuambia nyenyuka futa magoti ndende yalio pita yamepita
Wewe Changamoto zangu unazijua? Wakuu nimeleta Mada ili nimpate nimtakae na siyo Kuhojiana au Kung'ang'ania Mambo ambayo naona kwa sasa hayana Umuhimu.

Kama unajua Wewe labda ni Mwanaume au Uzi huu haukufai tafadhali ni vyema ukakaa tu kimya na uwaache wenye nia na Kuhitaji waweze Kuwasiliana nami.

Acheni Kuniharibia huu Uzi wangu kwa Kukazania tu Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto.
 
Mkuu hujasema kama una mtoto au lah, isijekua bibie anakuja anakuta una familia.
Na vipi wewe unataka mwanamke mwenye mtoto/ asie na mtoto au yeyote tu ilimradi ni maskini na anataka muinuke pamoja.
 
Wewe Changamoto zangu unazijua? Wakuu nimeleta Mada ili nimpate nimtakae na siyo Kuhojiana au Kung'ang'ania Mambo ambayo naona kwa sasa hayana Umuhimu.

Kama unajua Wewe labda ni Mwanaume au Uzi huu haukufai tafadhali ni vyema ukakaa tu kimya na uwaache wenye nia na Kuhitaji waweze Kuwasiliana nami.

Acheni Kuniharibia huu Uzi wangu kwa Kukazania tu Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto.
Sisi ni wanaume wenzio huna haja ya kupanic brother naona nimekugusa ok kila la kheri
 
Mkuu hujasema kama una mtoto au lah, isijekua bibie anakuja anakuta una familia.
Na vipi wewe unataka mwanamke mwenye mtoto/ asie na mtoto au yeyote tu ilimradi ni maskini na anataka muinuke pamoja.
Kwani haya mengine unayoniuliza na ambayo huenda kwa bahati mbaya nimesahau Kuyaanika huyo mwenye Nia akinitafuta kupitia hiyo Email Address yangu niliyoitoa hapo hatoweza Kufahamu yote na mengineyo?

Kinachonishangaza wengi mnaoulizia kuhusu Umasikini na Changamoto zangu ni Wanaume Wenzangu na isitoshe hakuna mahala popote pale katika Maelezo yangu nimemlazimisha au nimelazimisha Mwanamke au Wanawake Kunikubalia.
 
Sisi ni wanaume wenzio huna haja ya kupanic brother naona nimekugusa ok kila la kheri
Sasa kama Wewe ni Mwanaume Mwenzangu masuala ya Mimi kusema ni Masikini na nina Changamoto zangu Wewe yanakuuma au Kukukera nini? Kidogo ungekuwa ni Mwanamke ningekuelewa ila cha Kunisikitisha na Kunishangaza Wewe ni Mwanaume ( Dume ) je, nikueleweje labda?
 
Kwani haya mengine unayoniuliza na ambayo huenda kwa bahati mbaya nimesahau Kuyaanika huyo mwenye Nia akinitafuta kupitia hiyo Email Address yangu niliyoitoa hapo hatoweza Kufahamu yote na mengineyo?

Kinachonishangaza wengi mnaoulizia kuhusu Umasikini na Changamoto zangu ni Wanaume Wenzangu na isitoshe hakuna mahala popote pale katika Maelezo yangu nimemlazimisha au nimelazimisha Mwanamke au Wanawake Kunikubalia.
Tatizo umepanick na bahati mbaya zaidi kila anaekuuliza unahisi anakuuliza kuhusu umaskini wako. Ni wapi nimeuliza kuhusu umaskini wako au umejistukia mkuu??

Hiyo aya yako ya kwanza inajibu vizuri kabisa nilichokuuliza hiyo aya ya pili haihusiani na nilichouliza.
 
Tatizo umepanick na bahati mbaya zaidi kila anaekuuliza unahisi anakuuliza kuhusu umaskini wako. Ni wapi nimeuliza kuhusu umaskini wako au umejistukia mkuu??

Hiyo aya yako ya kwanza inajibu vizuri kabisa nilichokuuliza hiyo aya ya pili haihusiani na nilichouliza.
Huchoki tu Kusumbuka na Mimi Mkuu?
 
Wee ni Caludgi ama Caludji ama jina la kuchonga?
1643386980972.png


 
Was a Joke mkuu
Siko hapa Kutaniana na wala sihitaji Utani ila kama nyie Wanaume wenzangu mna Mpango wa Kuniharibia huu Uzi wangu kwa Hoja zenu zisizo na Tija juu ya kile ninachokihitaji hapa basi sawa?

Unaposema ni Utani wakati unajua huu ni Ukurasa wa Love Connect na katika Maelezo yangu ya Awali nimeshaonyesha kuwa nipo serious una maana gani labda? Acheni Dharau na Sanifu tafadhali.
 
Back
Top Bottom