Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Nahitaji Mwanamke mwenye Umasikini kama wangu ili tupendane Kidhati na tushirikiane Kuinuka Kimaisha

Hayo ya walionileta duniani yanaingiaje hapa?

Mbona ni mtu mzima usiejielewa wewe
Kweli wewe ni mpumbavu na mjinga wa kiwango cha reli ya SGR

Yaani watu maisha yakiwapiga mnawehuka kabisa
Lijitu zima hovyo na hopeless kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana Wewe ukawa ni Mpenzi wangu niliyeachana nae hivyo ndiyo maana hadi unaweza Kujua Shida zangu za Kupigwa na Maisha mpaka Umri wangu mkubwa ambao Uliukubali na hata nlipokuwa nakulala ulijua kuwa Unalalwa na Mzee Jitu zima ila tatizo la Upumbavu wako Uliorithishwa na waliokuleta duniani hulijui au kama unalijua umeshindwa Kulitatia.

Huwa sichoki Kuelimisha Fools wa aina yako na cha Kushangaza zaidi ni kwamba tayari umeshajua kuwa nimechanganyikiwa na Maisha lakini bado tu unapoteza muda wako Kujibizana na Kujipendekeza katika huu Uzi wangu.
 
Yawezekana Wewe ukawa ni Mpenzi wangu niliyeachana nae hivyo ndiyo maana hadi unaweza Kujua Shida zangu za Kupigwa na Maisha mpaka Umri wangu mkubwa ambao Uliukubali na hata nlipokuwa nakulala ulijua kuwa Unalalwa na Mzee Jitu zima ila tatizo la Upumbavu wako Uliorithishwa na waliokuleta duniani hulijui au kama unalijua umeshindwa Kulitatia.

Huwa sichoki Kuelimisha Fools wa aina yako na cha Kushangaza zaidi ni kwamba tayari umeshajua kuwa nimechanganyikiwa na Maisha lakini bado tu unapoteza muda wako Kujibizana na Kujipendekeza katika huu Uzi wangu.
Nashauri huu uzi mod waufute maana mtu alie uleta hajielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri huu uzi mod waufute maana mtu alie uleta hajielewi

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo Mods wakupige BAN Wewe damn Fool? Nimeleta Uzi natafuta Mwenza wangu nakushangaa badala ya Kujikita haja Hoja Kuu Wewe unaleta Upuuzi wako.

Kwani nimekulazimisha Uufungue Uzi wangu huu? Kama Wewe haukuhusu kwanini Unahangaika nao tu muda Wote?

Unajichoresha sana tu kwa wenye Kukuzidi Akili na nakushauri acha kupoteza muda wako Kuuchangia huu Uzi au kutaka Majibizano nami kwani hakuna utakachokiweza au nishinda pia sawa? Unaboa....!!!!
 
Siyo Mods wakupige BAN Wewe damn Fool? Nimeleta Uzi natafuta Mwenza wangu nakushangaa badala ya Kujikita haja Hoja Kuu Wewe unaleta Upuuzi wako.

Kwani nimekulazimisha Uufungue Uzi wangu huu? Kama Wewe haukuhusu kwanini Unahangaika nao tu muda Wote?

Unajichoresha sana tu kwa wenye Kukuzidi Akili na nakushauri acha kupoteza muda wako Kuuchangia huu Uzi au kutaka Majibizano nami kwani hakuna utakachokiweza au nishinda pia sawa? Unaboa....!!!!
Mods futeni huu uzi hamna mtu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sipendi kudanganya na kuficha nina Maisha magumu na napitia Changamoto kadhaa za Kimaisha, ila naamini nikimpata Mwanamke mwenye hali kama yangu na tukapendana, kushirikiana, tukapambana na kumuomba Mwenyezi Mungu bila Kuchoka basi Umasikini wetu utabadilika na Mafanikio kutupata.

Naitwa Caludgi Mtemi Mpota nina miaka 43. Nina Shahada ya Kwanza ya Chuo Kikuu. Ni Mkristo wa Katoliki na Kabila langu ni Mmwela.

Nakaribisha Mwanamke mwenye Umri wa kuanzia miaka 38 mpaka miaka 43 tu tafadhali.

Kama kutakuwa na Mwanamke mwingine ambaye siyo Masikini kama niliyemhitaji na atapenda kuwa nami basi Kwanza awe tayari Kuupokea huu Umasikini wangu na Kipaumbele chetu kiwe ni Kushirikiana ili tuinuke pamoja.

Nipo tayari kupima nae Afya ya Magonjwa yote makubwa na hatarishi katika Hospitali yoyote ile muda na wakati wowote akihitaji ili ajiridhishe nami na tujiridhishe sote pia Kiafya.

Kwa Mwanamke atakayekuwa na nia ya Dhati nami basi tuwasiliane kupitia email address yangu hii ya mtemi.m@yahoo.com na nakaribisha zaidi Wanawake wa walioko Dar es Salaam, Morogoro na Tanga kutokana na Ukaribu wa Kijiografia.
Mkuu nikupe siri moja kubwa sana:
Usijidanganye kuoa mwanamke maskini sana asilimia kubwa hao ndo huongoza kwa ushirikina, limbwata, hata usariti maana wengi wao huamini kwamba akipata mwenye pesa atampunguzia matatizo
 
Mkuu nikupe siri moja kubwa sana:
Usijidanganye kuoa mwanamke maskini sana asilimia kubwa hao ndo huongoza kwa ushirikina, limbwata, hata usariti maana wengi wao huamini kwamba akipata mwenye pesa atampunguzia matatizo
Samahani Mkuu Kichwani mwako zimetimia?
 
Yani huyu jamaa nimejikuta napenda kusoma huu uzi kwa jinsi anavyo panic akiwa challenged kidogo tu matusi sasa hofu yangu nikwamba ndoa ataiweza kweli?
 
Back
Top Bottom