Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Hujasema mkipima HIV kama mmoja wenu kaathirika nini kitafuata
 
Maisha magumu mpaka watu wanawaza kuolewa as an alternative way ya kupunguza ukali...mimi nina miaka 41 unqualified for the position

Mimi sidhani kama maisha magumu ndiyo yamempelekea mleta mada kutangaza nafasi hiyo
Nna jaribu tuu kufikiri labda amekuwa ni mhanga wa mapenzi kwa muda mrefu japo ana age hiyo ambayo sio kubwa na kuwa desparate to that extent
Au labda hana exposure kubwa katika kukutana na wanaume anaodhani ni wamaana
Au amegive up kwenye swala la mahusiano anachotaka ni ndoa tuu maana upendo hauanzi tuu vuup!ghafla unaweza yeye ndiye anajua sababu
Aanaweza akaextend mpaka 41
 
MEANDU

Aha ha ha ha!! Usimkatishe tamaa mwenzio. Wanaume wenye sifa hizo wapo wengi tu, mimi ni mmoja wapo ila kikwazo kwangu ni kwamba tayari nishaoa. Naamini tampta mtu ambaye yupo serious na anayetafuta kama yeye.

Aendelee kuomba Mungu pia maana kuna watu wengine wapo stand-by kusubiria loose ball, asije akadondokea katika mikono isiyo salama akaja kuichukuia JF.

hahahahaa
 
Ningeku PM mm niko vzr ila umri wng mmmmmh under 25
 
hebu funguka hapo kwenye hiyo shughuli
Mbona umri wako bado ni wa kutafutwa......?......sidhani kama umefikia kutafuta.......tena mtandaoni.......we piga shughuli.......kuwa nadhifu.......watakutafuta tu wenyewe.......
 
Kama unalazimisha vile.....Utapata wa aina yako dogo ila umri bado wa jogoo, ungejisetiri kidogo upate mme
 
Binafsi sijaona sifa ya ajabu sana, aliyo andika hapo "Asiwe mlevi,asivute sigara wala asiwe mgomvi"
naona watu wengi wanalalamika; je kama angesema uwe na elimu fulani au hata mshiko nk?

Hizo ni sifa za kawaida tu kwa mtu anayemaanisha kutafuta mwenza.
Binafsi nahisi ni vizuri mtu kuandika sifa anazo penda ili wale wengi ambao hatuna, tusimsumbue. ...nahisi bado anaumri mzuri..akijiremba na kuhudhuria kwenye matamasha/kanisani/kwenye maharusi nk anaweza kupata huko

Mimi na andaa ya kwangu...one page!!!
 
Mimi sidhani kama maisha magumu ndiyo yamempelekea mleta mada kutangaza nafasi hiyo
Nna jaribu tuu kufikiri labda amekuwa ni mhanga wa mapenzi kwa muda mrefu japo ana age hiyo ambayo sio kubwa na kuwa desparate to that extent
Au labda hana exposure kubwa katika kukutana na wanaume anaodhani ni wamaana
Au amegive up kwenye swala la mahusiano anachotaka ni ndoa tuu maana upendo hauanzi tuu vuup!ghafla unaweza yeye ndiye anajua sababu
Aanaweza akaextend mpaka 41

Wacha a-extend. Litakuwa jambo la kheri sana...mke wa tatu huyo nitaoa, sema yeye nitampa cheo...ka age kamoja tu akaonee huruma
 
Mlevi au mnywaji, nahisi niko disqualified sababu ya biereeee
 
Back
Top Bottom