Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Sishangai sana kwa kizazi hiki cha modenisation anaweza akawa mtu poa tu ameona atengeneze kapu kubwa na aweze kuwafanyia prunning ili apate the best msiooa fursa hiyo.Ila namshauri akiamua kula nguruwe ale alionona aingie kwenye mitandao ya wanaotafuta wenza ipo mingi tu aweke picha yake e-mail namba ya simu wasifu wake na anapendelea mtu wa tabia zipi
 
Wee mdada unadharau walevi wakati ndo wachangiaji wakubwa wa kodi TRA .....
 
Mbona umri wako bado ni wa kutafutwa......?......sidhani kama umefikia kutafuta.......tena mtandaoni.......we piga shughuli.......kuwa nadhifu.......watakutafuta tu wenyewe.......

Ndo kaishafanya hayo yote sasa na hakijaeleweka.
 
.....Aha ha ha ha!! Usimkatishe tamaa mwenzio. Wanaume wenye sifa hizo wapo wengi tu, mimi ni mmoja wapo ila kikwazo kwangu ni kwamba tayari nishaoa. Naamini tampta mtu ambaye yupo serious na anayetafuta kama yeye.

Aendelee kuomba Mungu pia maana kuna watu wengine wapo stand-by kusubiria loose ball, asije akadondokea katika mikono isiyo salama akaja kuichukuia JF.

loose ball kwa iyo malkia hapo juu nae ni mpira uliopotea
 
Hili suala la vigezo na masharti kuzingatiwa limekuwa kila mahali siku hizi!
 
Dada Uko Desperate Kiasi Hicho???Ebu Fanya Yako Wanaume Watakufata Tu Sio Wewe Kuwatafuta,Atu Umri Wako Bado Mdogo
 
Back
Top Bottom