Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Wanaune waoaji hivi ni adimu hivyo ee
 
mi nakuhitaji ila lazima nikutest kwanza kama gunine au cyo
 
kuna kitu umesahau
mjebele unahitaji wa futi ngapi?
Au kibamiiaah
 
😄😄😄 njoo inbox mapema sasa hivi
 
ungeweka na picha yako tukuone,ila napita tu mana mimi sina vigezo
 
Bi dada hebu kuwa siriazi kidogo

Hivi sikuhizi wanaume imekuwa kama unatafuta bidhaa?? yaani unaweka vigezo viiingi ambavyo haviendani kabisa. hebu angalia combination ya vigezo vyako; asiwe mlevi wala mvuta sigara-hapa ni ngumu basi atakuwa na hobby nyingine nayo inaweza kuwa mbaya zaidi

Msitufanye kama robot vile unaweza kuiprogram na kuwa kama unavyotaka.

Kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…