Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Nimekuelewa vizur xana dada,lakin sura ni muhimu kutambuana sote,najua sio rahis kuitia ndan.Tuwasiliane bas kwa 0716214072
 
kama sio kikwazo cha dini mm ningeomba mungu kwako.ila mungu atakusaidia ufanikiwe
 
Mm ni mlevi kupita maelezo ila kuhusu pesa ndo nnazo kupindikia vipi binti nnaweza kukuona
 
huyu mwanamke ni tapeli wakuu,niliwasiliana nae ndani ya dakika moja akawa amenidanganya mara 2,sikumtafta tena.mara ya kwanza akaniambia yuko tunduma kwa mjomba wake,muda mfupi tena nikamuuliza uko wapi akadai mtwara kwa mama yake,nikaishiwa pozi sukumtafta tena.

nikamuuliza tena umesema uko wapi,akajishtukia eti oooh sory awali nilisema niko tunduma,ni story ndefu mawazo yananitesa,nikajua huyu kimeo,sikumtafta tena.

kuweni makini.
 
Back
Top Bottom