Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

huyu mwanamke ni tapeli wakuu,niliwasiliana nae ndani ya dakika moja akawa amenidanganya mara 2,sikumtafta tena.mara ya kwanza akaniambia yuko tunduma kwa mjomba wake,muda mfupi tena nikamuuliza uko wapi akadai mtwara kwa mama yake,nikaishiwa pozi sukumtafta tena.

nikamuuliza tena umesema uko wapi,akajishtukia eti oooh sory awali nilisema niko tunduma,ni story ndefu mawazo yananitesa,nikajua huyu kimeo,sikumtafta tena.

kuweni makini.

Naamini wengi wanaotafuta wachumba humu ni waongo,hawako serious..
 
Me kweli natafuta mke lkn kwa style yako bac sikutaki kwasababu unatangaza sifa kibao je wewe kwa upande wako hizo sifa zote unazo? Eti oo me nataka mwanaume awe hivi awe vile kama wewe umekamilika bac jioe mwenyewe kwanza me sipendi mwanamke anaye jitangaza kwenye mitandao umala***ya tu
 

Attachments

  • 1432753090625.jpg
    1432753090625.jpg
    32 KB · Views: 512
Mbona umri wako bado ni wa kutafutwa......?......sidhani kama umefikia kutafuta.......tena mtandaoni.......we piga shughuli.......kuwa nadhifu.......watakutafuta tu wenyewe.......

Naona wewe ni nadhifu sana,jee umeolewa bi dada?
 
Back
Top Bottom