Nahitaji mwanaume wa kunioa

Nahitaji mwanaume wa kunioa

Kama una mtoto, elekeza mapenzi yako yote kwa mwanao, kama huna basi piga kazi kwa bidii wanaume watajileta tu wenyewe.

Shida ya wanawake wengi ambao kiumri wako above 25 au chini ya hapo ila wanapost wanahitaji mume ni ngumu sana kupata kwasababu ya mentality zao..
Wao wanataka mtu perfect alieko mawazoni mwao ambae hata wao hawajawahi kudate nae achilia mbali hata kuonana na mtu perfect wa kiwango wanachotaka.

Mbaya zaidi wanachagua mno, ni kweli wagaigai ni wengi ila kupata mwenza kwa social networks kwa njia hii ya kutangaza ni ngumu sana.
Ni kujiongezea stress tu
 
Kwahiyo anataka mchaga mwenzie? 😹😹
Huyu anaua brand ya wachaga, mbona nyie wifi mnaolewa sana kuliko kabila lolote!! Nini kimetokea tena? 🤣
Vita upande huo ni kubwa sana Wii...
Utuweke kwenye maombi Tafadhali😃
 
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
Mavi-Jana yangu yameshakataa ndoa hujayasikia?
 
Back
Top Bottom