Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kukubali huo mpango wako labda umpate mwenye hitilafu kichwani anaweza kukubali coz hawezi kufikiria Madhara yake hapo baadae........Kigezo Cha mwenye akili timamu kiondoe coz hutampata mwenye AKILI TIMAMU
atakaetimiza hiyo ndoto yako.
 
wewe usitusemeewote,,,tupo wenye akili timamu tunaweza
 
Kwani hauna mbegu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…