mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Balaa gani liliwakuta mkuu?Hiki anachokitaka mtoa mada,
Kishawakuta jamaa wengi tu wa humu jf,
Shuhuda Ni nyingi mno na wengi wanajuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa gani liliwakuta mkuu?Hiki anachokitaka mtoa mada,
Kishawakuta jamaa wengi tu wa humu jf,
Shuhuda Ni nyingi mno na wengi wanajuta.
Kwa hiyo siku za upevushaji ni ngapi ili tujue tutakula mbususu bure kwa siku ngapi?3. Asiwe busy sana sababu nataka awe focused na kunipa ujauzito zile siku zote za upevushaji tutakazokutana
Zaidi ni muhimu sana kufanya background check ya familia yake .. Kuna mengi ya kuangalia magonjwa sugu, laana za kifamilia, ulemavu nknkUshauri wako nimeupokea huu,
Siwezi kukupinga kaka
Ahahahahahahaaa The beauty of FAKE ID..!!! Eti Low IQ Idiot anhahaaaa..!!!Ukipiga puli huwa unatunga Mimba na mtoto anazaliwa ?
Low IQ idiot wewe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
wewe usitusemeewote,,,tupo wenye akili timamu tunawezaHakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kukubali huo mpango wako labda umpate mwenye hitilafu kichwani anaweza kukubali coz hawezi kufikiria Madhara yake hapo baadae........Kigezo Cha mwenye akili timamu kiondoe coz hutampata mwenye AKILI TIMAMU
atakaetimiza hiyo ndoto yako.
Ukiona hujibiwi ujue vigezo huna,Hajibu PM demu wenyewe anatuchora huyu f[emoji1][emoji1]
Aah! Hata wewe nimeikosa mbususu yako dah 😕😕Ukiona hujibiwi ujue vigezo huna,
Acha kupotosha watu
maanake hana akili timamu au 😳Ukiona hujibiwi ujue vigezo huna,
Acha kupotosha watu
Kwani hauna mbegu?Pole kwa yote uliyopitia Mariposa ni hatua nzuri uliyofikia.. Mimi nizidi tu kukuombea na kukutia moyo! Kuna baadhi ya taasisi wanauza mbegu hivyo unaweza kwenda huko!
Hofu yangu ni future ya mtoto atakayezaliwa..! Udogoni sio tatizo sana lakini kadiri atakavyokua hasa maisha ya shuleni akisikia wenzake wakisimulia kuhusu baba zao wakati yeye hana/hamjui anaweza kuathirika kisaikolojia na kutengeneza tatizo jipya
Kwa hatua ya kutaka kubeba mimba tena bila kupandikiza mbegu ni hatua nzuri sana kwakuwa inaweza kumaliza tatizo ulilonalo! Bila kutegemea wala kupanga mimba ikishatungwa hisia zinaweza kuanza kubadilika na kuanza kumhitaji mzazi mwenzako awe karibu nawe.. Mimba huja na mengi
Ikikutokea hivyo na huyo mzazi mwenza mtarajiwa akaku handle vema utakuwa umemaliza tatizo moja kwa moja.. Ila akizingua ndio basi tena
Yote kwa yote NAKUOMBEA
Mkuu utakuwa una gundu yani adi team upinde wa mvua nao wanakukataa[emoji23][emoji23][emoji23]Aah! Hata wewe nimeikosa mbususu yako dah [emoji53][emoji53]