Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
sasa mimi nitafaidika na nini au ule utamu tu wakati tunagegedana?

nikupe mbinu ukitongozwa kubali kwa shart na kwenda kupima maradhi kwanza. Halafu ww binafsi weka mazingira yako ya kupata ujauzito. halafu ukiupata kata mawasiliano. na hata akijua simple tu unamwambia kuwa huu si ujauzito/mtoto wako.
Mkuu unafikiri huu ushauri ni mzuri kwa kiumbe kitakacho kuja kuzaliwa? vp mtoto akija kuuliza kuhusu Baba yake yuko wapi?
 
🤣unaelekea kuchelewa mbona,nilitoa offer ya mtoto mmoja kuanzia next year ila masharti niliweka nijengewe nyumba hata room mbili.....afu wewe mbona nataka uje unichukue nije huko bhana🙄
Sasa uje huku na Nyumba yako ya room mbili umuachie nani?

😀😀
 
😄😄😄 Kwanza ingekuwa hamna kuvaaa nguo mzee, tungerudi nae enzi za adam na eva.. hotel ningejitolea maana ili inoge huyo inabidi mchukue room yenye hadi ya raisi mtoto nampikia tu misosi ya kumpa nyege kila saaa, angejutia sana kuwa Lesbian.. Wiki moja tu angetangaza ndoa huyu.. Ila cha ajabu anaweza pata mzembe mzembe akampoteza kabisa
Seems anapitia posts zote humu, huenda akakufikiria mkuu😊
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom