Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Mkuu unafikiri huu ushauri ni mzuri kwa kiumbe kitakacho kuja kuzaliwa? vp mtoto akija kuuliza kuhusu Baba yake yuko wapi?
 
Acha hii offer niwaachie wengine,nasubiri siku wewe ukitoa offer nitakua wa kwanza kufika.

😀 😀
🤣unaelekea kuchelewa mbona,nilitoa offer ya mtoto mmoja kuanzia next year ila masharti niliweka nijengewe nyumba hata room mbili.....afu wewe mbona nataka uje unichukue nije huko bhana🙄
 
Mwanaume mo
Pumbavu na asiyeelewa thamani ya damu yake ndio anaweza kukubali huu ujinga.

Uagonge mwanamke ili azae shoga mtarajiwa, yaani huyo mtoto mtarajiwa lazima awe shoga, nani anataka mtoto wake kuwa shoga. Labda awe hamnazo kichwani.
[emoji38][emoji1]kaka umeandika Kwa hisia sana
 
🤣unaelekea kuchelewa mbona,nilitoa offer ya mtoto mmoja kuanzia next year ila masharti niliweka nijengewe nyumba hata room mbili.....afu wewe mbona nataka uje unichukue nije huko bhana🙄
Sasa uje huku na Nyumba yako ya room mbili umuachie nani?

😀😀
 
Seems anapitia posts zote humu, huenda akakufikiria mkuu😊
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…