Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Wanaume wa Dar wauwawe tu hawana maana, huyu bint mpka anafika huku hamumuoni?

Anyway fursa ya kuosha rungu hiyo àpo mabaharia wangu.
 
Si umuache mwenzio atafute anachotaka..

Huyo mwanaume si mtu mzima na ana akili timamu..He will figure it out by himself, siyo unashikilia bango tangazo la mwenzio
 
Je mzee si ndio atakufaa zaidi maana akimaliza kazi anapotea zake🚶🚶
 
Njoo kwangu ila nipo nje ya dar.
 
Utasubiri sana kumpata yule mwanaume lijali unayehisi ataweza kuwa na akiili km zako.
 
[emoji38][emoji1]kaka umeandika Kwa hisia sana
Mdogo wangu, mwanaume atakayekubali kuzaa na lesbian manake yupo tayari mtoto wake kuwa lesbian au punga. Manake mama ndio mume kwa mwanamke mwingine...inakuja haiji hahah!
 
Njoo swaxy uchukue
 
This is my confession I already done this with the lady next door, ili happen strangely sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…