Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Yani kumtia mtu mimba tu iwe tatizo kubwa kiasi hiki? Mariposa njoo inbox kama uko tayari. Na useme unataka mimba ngapi?. Na anaetaka mwingine niunganishe sitaki hata Mia yake
CC. mzabzab
 
Bila kuonesha sura yako huwezi pata man
 
Nimekuelewa Missile of the Nation, inawezekana kweli mimi ni mbinafsi lakini lengo langu hasa ni kumuondolea majukumu Mtu ambaye siwezi kua nae kwenye mahusiano na zaidi hatukupanga kuzaa kumbuka tutakua ni two strangers tunakutana kwa mission moja tu MIMBA, sasa hayo mengine ni vema nijicommit mwenyewe tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…