Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
Sikuona sehemu ambayo huyo mwanaume anafaidika nini sawa mtoto hamuhusu tena baada ya kuweka ujauzito ndio hata pesa akose?

Don't complain. Huyo akiwa sirias atapata humu humu. Hiv lile jotojoto pale mapajani mnaonaga Lina kasheshe ndogo?. Yeye kama anawajaribu watu tu mwambie tu "WANAUME HATUJARIBIWI"
 
Usiwe mbinafsi kwa kiwango hiki.
Unajali furaha yako pekee kwanini umnyime mtoto haki ya kumjua baba kisa unalinda furaha ya moyo wako?
 
Mshana Jr nakuaminia, chukua wewe hii kazi.
 
Tatizo lingine.
Eti nisiwe busy nikiendelea kumtafutia mtu mtoto wake na mimi sitakuwa na haki ya kumuona?

Mimi nafaidi nini?
Kusex na mtu asiye na hisia na mimi!!!

Labda hili ataliweza
mzabzab
Mie namsubiria pm tuyajenge nimpe mimba basi najua dogo akiwa mkubwa atanitafuta tuuu
 
Usisumbue watu humu we nenda muhimbili hospital ukawaelezee watakusaidia kukupatia mbegu ,

Usihangaike kutafuta MTU Mwenye akili timamu wakati wewe mwenyewe tu hapa unaonekana huna akili timamu
 
Hakuna lesbian kwenye Mimba,

Hii mbinu unayotumia ni ya kunasa mwanaume ili baadae awe mbeba mizigo yako.

Sasa mwanaume jichanganye tena nyie wenye status na KAZI zenu za heshima mtapelekwa madawati ya jinsia Hadi mchakae na aibu juu.



Huu ni mtego. Huu ni mtego. Kama anataka mtoto aende kupandikiza mbegu. Anachofanya hapa kuna watu wanategwa.



Narudia tena hakuna lesbian kwenye Mimba. Tumeona Lesbian waliokubuhu zaidi ya huyu Ila walipochapwa Mimba wakawa full wanawake.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huyu kumbe anajitambua anaona umri unaenda halafu kuna hitaji la kuwa na family sasa tamaa imemzidi kama anaweza akawaza kupata mtoto kumbe hata hiyo tabia anaweza akaacha.Anataka kumuambukiza mtoto mambo ya ajabu.
 
Sasa unapatikanaje? Nakubaliana na hayo masharti yote
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…