Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha bangi PiddyKua mdada jrani ana miaka 24 mzuri hatareee ila ameamua kyshinda kwa kuhan musa kila siku yaan...kila anaedate nae anakufa..last alikuwa engn pale bandarini..yule jamaa alijua kabisa issue ya demu akaja na force ya kuoaaa weweee...akapeleka mzigo masaki kontena anaelekeza pa kushusha lisimdondokee alipo hata awakuaga...mdadq akomi ana kigoda kiko VODAA kakomaaa nae sema dis tym anasali kamaanasomea ukuhani....mwanaume wa 4 huyu anataka oa...shida usitangaze kuoa weeee.....
sasa huyu analia anataka timamu..kun mawili ana uhitaji ama.alishaumia na wehuu kadha..so unaweza kojoa akapata mimba ukaanza kuwa wehu..m nashauri aombe sana kama ana roho za kuoata wehu zimtoke kwanza else akija timamu kama didy analo ...
every spirit of .....ouuuuuuut n Jesus name
Kishapatikana, kunywa maziwa fresh utoe sumu mwiliniNikapime hospitali kisa kumridhisha lesbo? Halafu mtoto nisimuone. Hivi kumbe haya ma LGBT hayanaga akili timamu. Kwendra huko....
Pole, ungesoma mrejesho kwanza kabla ya kupayuka hapaA
ASIWE BUSY WA KWAKO.MAMAA
TAFUTA WAKO MSHUGULIKIE HUMU.WANANDOA KIBAO WATAVUA PETE WASEME.SINGLE WAKUKOJOLEE KAMA NILIVYOFANYA UGANDA ILA NALEA..
Tutazingatia hilo,Kuna changamoto jiandae nazo,mazoea hujenga tabia,ni rahisi sana mmoja wenu kumzoea mwenzake au kuja kupendana. Pia kwenye malezi ya mtoto usitegemee utamweka mtu mbali na damu yake kwa namna unayowaza wewe,attention itakuwepo tu,kwako,kwa mtoto,au kote.
Tukubaliane na mabadiliko ya ulimwengu,Why do you need chemistry kwa mtu ambaye mtakata mawasiliano baada ya mimba kuingia!?
Kwa mambo tunayofanya binadamu siku hizi I'll have to agree with the proposition that
The human society is not progressing as many think,
We're actually regressing!!
Una majibu ya kukera hadi basi[emoji1787]Kishapatikana, kunywa maziwa fresh utoe sumu mwilini
Kuna muda ili usurvive na wewe unajitoa ufaham kidogo [emoji23]Una majibu ya kukera hadi basi[emoji1787]
Daah ulikataa mbegu zangu kabisa?[emoji23]Kuna muda ili usurvive na wewe unajitoa ufaham kidogo [emoji23]
Pole, sasa umtunzie mkeo mtarajiwa.Daah ulikataa mbegu zangu kabisa?[emoji23]
Nimetania tu uzi wenyewe nimeuona jana tuPole, sasa umtunzie mkeo mtarajiwa.
Mrejeshooo mwingine liniiMREJESHO:
Shukrani wadau mtu nimempata ila katoka nje ya JF kuna mtu nafanya nae kazi, aliniconnect na ndugu yake, tulipatana tangu december ila tukasubiri vurugu za mwisho wa mwaka zipite ndio tuanze zoezi letu la vipimo na sio muda zoezi lenyewe litaanza [emoji2960]
Huyu Kaka ana Akili timamu, ni daktari wa kina mama katika hospital fulani, hajaoa wala hana mchumba, tumeenda dates mbali mbali kwanza ananukia vizuri, hana mandevu, hanuki mdomo, ni bonge la gentleman, ametulia ila sio mpole kwa hiyo hatukosi story kila tukichat na tukipigiana simu, kuna chemistry ndani yetu which is good kwa tunachotaka kukifanya....
Amenikubali vile nilivyo, hana swaga za "nataka kukubadilisha", ananiheshimu sana, hofu yangu asije aka fall in love tu maana ana speed [emoji1]
MNAO TEXT NA KUCALL ACHENI MARA MOJA, KAZI IMESHAISHA TUSUBIRI MAJIBU TU.