antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Duh..Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Mbona unaongea kwa kukata tamaa hivi?- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mkuu naongea ninalolijua na kulishuhudia.Si kweli.
πππ Na tatzoo lenyewe linaanzia kwako note hapo...Woooiii tatzo iloππππ
Wazee wastaaafuWazee tuna ruhusiwa kuja pmπ
we kijana unantafta nn lakin πππππππ Na tatzoo lenyewe linaanzia kwako note hapo...
Wanazingua hawa ukizama PM kule ujue πππPole sana Dada,nimekuelewa vizuri sana,endelea kumtumainia Mungu,hawezi kukutupa,utapata tu hitaji la moyo wako,
Never give up,enjoy ur life,wala usihuzunike,hope one day utakua mtu mwenye furaha.
All the best Dada.
Nataka unipigie tuu nijifie hukooo πππwe kijana unantafta nn lakin ππππ
Natafuta wa kumsaidia mama Li malezi ya mume..π€£Wazee wastaaafu
Unataftia mwanaume mtandaoni!!!!! Huko kwenu hamna wanaume?Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.
I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi
Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.
Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.
Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.
Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto
Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.
Mengine mengi tutajuzana na muhusika
Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Mkuu umeanza kutongoza wajukuu zako!?πππ Na tatzoo lenyewe linaanzia kwako note hapo...
Kheeeeee ndo ushaanza kuniita kaka serious.....ππππMwe mwe mwe unasemaje kaka
Sibagui wala sichagui mkuu..Mkuu umeanza kutongoza wajukuu zako!?
Pisi hiyo hapoNatafuta wa kumsaidia mama Li malezi ya mume..π€£
Wewe itakuwa unaongelea vijana ambao ni jobless wa kizazi hiki ila hao pia sio wengi. Wanaume ambacho hawataki ni fling kuleta mtoto. Kama unataka mahusiano ya kuleta mtoto niweke wazi kabisa maana hatuwezi kuzaa zaa na kila mtu.Mkuu naongea ninalolijua na kulishuhudia.
Tena hasa hawa vijana wa 2000 ndio kabisaa!
Wakitia mimba nduki.
Si ndio, tena anajichagulia kabisaπ₯°Dada financial stebo ππ
Akishakuwa stable haki anaweza jilengesha kwa lihandsome moja zuriiiiii. Akabaki na ukumbusho wa mtoto mkali π₯°
likiwa refu akili hamna, huyo mtoto atakula uref wa baba ake? Tafta mwanaume mwenye akili anaejitumandoman nilsema we mfupi ππππ
Huo ubaguzi live liveSi ndio, tena anajichagulia kabisaπ₯°
Ila hivi hivi mbona atapauka ye na mtoto, atamtesa mtoto bure.