Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Nahitaji mwanaume wa kuzaa nae

Status
Not open for further replies.
Pole sana Dada,nimekuelewa vizuri sana,endelea kumtumainia Mungu,hawezi kukutupa,utapata tu hitaji la moyo wako,

Never give up,enjoy ur life,wala usihuzunike,hope one day utakua mtu mwenye furaha.

All the best Dada.
 
Nahitaji mwanaume wa kunitimizia hili.na pia awe na shida na kama hii pia yaani Nawe anahitaji mtoto.

I have been so lonely,naamini mtoto atakua faraja yangu. Na kunisaidia kuishi Maisha yenye kusudi,na pia atanipa Ari na moral ya kujitafuta zaidi

Kwa upande wangu unaweza kujiuliza Sina mwenza? Ni kweli Sina,sijabahatika kupata mwenza mwenye utu,uelewa na.changamoto ni nyingi sana.siwezi kuelezea zote.

Kwa upande wangu Nina tatizo katika mfumo wangu wa nerve,nimekuwa na disability.mojawapo imenipata ukubwani.so mahusiano na mapenzi,sijui dates mi siwezi,nimezoea kuishi bila mwanaume.

Angalau niwe na mtoto nayo itanisaidia kuleta umaana kwenye Maisha,atakuwa kampani na rafiki kwangu,ndugu pia msaada In the future.

Kwa ufupi nahitaji mtu mwenye nia ya dhati,nae awe na uhitaji huo.
Awe anajishughulisha kujiingiza kipato Kwa shughuli halali
Awe mru mzima anaejielewa na kujua wajibu wake kama baba
Sihitaji mapenzi yako.mapenzi yako yaweke Kwa mtoto
Pesa zako wekeza katika kumtunza mtoto

Mimi Sina kipato,najitafuta na nnachopata ni kidogo.
-naomba malezi ya mtoto yabase kote kwenye pande zote mbili.muda,kujali,nk
- hata ukiingia kwenye mahusiano au ndoa haina tatizo usimsahau mwanao.

Mengine mengi tutajuzana na muhusika

Niko tayari kurekebishwa na kukosolewa kuhusu mawazo yangu.
Unataftia mwanaume mtandaoni!!!!! Huko kwenu hamna wanaume?
 
Nimesoma kichwa cha habari tuu sina haja maelezo,,,Naomba Tuzae wote Abi Mamii
 
Ungeweza kumudu mahitaji ya mtoto kwa 50% ningeungan na wew
 
Mkuu naongea ninalolijua na kulishuhudia.
Tena hasa hawa vijana wa 2000 ndio kabisaa!
Wakitia mimba nduki.
Wewe itakuwa unaongelea vijana ambao ni jobless wa kizazi hiki ila hao pia sio wengi. Wanaume ambacho hawataki ni fling kuleta mtoto. Kama unataka mahusiano ya kuleta mtoto niweke wazi kabisa maana hatuwezi kuzaa zaa na kila mtu.
 
ndoman nilsema we mfupi 😂😂😂😂
likiwa refu akili hamna, huyo mtoto atakula uref wa baba ake? Tafta mwanaume mwenye akili anaejituma

Habari za ohhh mara mfupi mara nataka mwanaume mrefu handsome

Swali ni je? Wewe na mwanao mtakula huo urefu wake au uhandsome wake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom