Nahitaji ndoa ya uke wenza

Ila haya mambo ya suffocation kila siku ni wito. Bora hao wapo 4 unapata muda wa kupumua.


Kila lenye heri mtoa mada, Mungu akupe hitaji la moyo wako.
 
Ni kweli kabisa, wenzetu kidogo wanazingatia suala la malezi na wana mkazo na suala la umuhimu wa familia. Ndio maana ni nadra kukuta mwanaume wa kiislamu yuko 30's na hajaoa.

Katika hili nawapongeza, nilifikiri ni mimi tu ndio naliona hilo.
 
Dah hii fursa imenipita πŸ˜‚
 
πŸ˜€
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…