Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Daah!Miaka 46 sio kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah!Miaka 46 sio kijana
ila weweMiaka 46 sio kijana
Point of correction dokta, eda ya kufiwa ndio miezi minne na siku 10.Hahaha Ila Comment za Humu Nimecheka Sana!
Wengine Badala ya kushauri wanasimanga🤣🤣
Mdogo wangu!
Nisilize Maisha yanatia Hofu sana, Ila Moyo ni hofu zaidi ya Hayo maisha...
Kama moyo wako bado una machungu na Mkeo hakikisha Unakaa naye mbali uwezevyo kwa muda jipe muda wa Kupona maana nimeona Umeandika mahali kwamba licha ya maumivu una hasira..
Sasa nisikilize Usikae Naye nyumba moja ukiwa bado unajiponya Hicho kidonda..
Stress +Hasira+ Deppresion Sio Combinantion nzuri Maana kitakachoendelea Unaweza ukamdhuru na kusababisha matatizo makubwa sana..
Nimeona Umeandika kuwa umetoa Talaka 2 so obvious wewe ni mwislamu..
Eda Ina miezi minne na nusu tumia Eda Kufikiria maamuzi yako na Kujiponya mwenyewe..
Na kama utaona kuna haja ya Kumrudia Fanya hivyo..
Asante!
bonge 1 la point... nawasifu wale wanaowezaga kupiga chini wife mpk watotoUkiwa mtu wa familiar au umelelewa kwenye maadili haya mambo huwa ni magumu kufanya maamuzi sababu ya watoto.
Tofauti na ukitokea single family
Kuchepuka ni tabia ya mtu umbali una nafasi asilimia kumi kuchangia usaliti.Kabla hujafanya maamuz yoyote jiulize haya maswali.
Wewe binafs hujawah kumsaliti?
Watoto wako watalelewaje bila mama yao.
Mazingira ya mbali ndio chanzo cha yote hayo?
Nikimsamehe nitapungukiwa na nini.
Maamuz yoyote unayochukua yalenge watoto sio ubinafs wenu.
Mwisho, bila umuhim. Biblia inasema aliwazalo mtu ndilo humtokea. Msiishi kwa kushika simu zenu au hayo ma meditation just amin mkeo unamuamin muombee maisha yaende.
Mkuu kwa umri wako uliofikia sio umri wa kuangaika tena kuanza kutafuta wachumba wa kuoa tena ukizingatia mko na familia ya watoto watatu.Habari wanajamvi naandika Bango Hili nikiwa sijui nini nifanye na nikiwa nimechanganyikiwa Kwa Yaliyotokea na sielewi hili.wala lile.
IKo hivi Mimi ni Kijana mwenye Umri wa Miaka 46, Nilikuwa nina Mke wangu ana Umri wa Miaka 34 Tulikuwa Tunaishi naye lakini kutokana na mambo Ya kimajukumu Ukabidi Niende Dodoma kama miezi mitano au sita Ilopita Na yeye Nikamuacha Tabora.
Tulikuwa tunawasiliana Vizuri tu na kuna kipindi Ilitokea Shida kidogo mwezi mmoja baada ya mimi Kuondoka, Kulitokea Hitilafu Kwenye Ujenzi tunaofanya hapo Kahama kwakuwa nilikuwa mbali na yeye Ni mfanyakazi wa Serkali nikamuomba akakope Pesa Kiasi halafu nitakuja Kufidishia (Ndiyo Tinavyofanya siku zote).
Kama Jukumu likiwa la kwangu na yeye akiwa na means ya kufanya bhasi anafanya Mimi naandika deni.
Kwakuwa Benki walikuwa wanachelewa Ikabidi aende kwa wanaoacha Kadi akafanikiwa na kupata pesa na kila mwezi akawa anakatwa pesa zake na alikuwa anafata kiasi kinachobaki hapo ofisini..
Wiki Moja kabla nikawa Nahisi Kama Kuna uwezekano Mke wanhu ananisaliti (Mimi ni mtu wa Kufanya Sana Meditation Hivyo Hisia zikinijia bhasi lazma nizifanyie Meditation Kwa siku angalau mbili na huwa napewa clear Picture)..
Kipindi nafanya Meditation nikawa naona kabisa Mke wangu ananisaliti sasa Baada ya miezi minne kuondoka huko Nikawa namuuliza Huko ni salama mbona kama kuna kitu kibaya unafanya jibu lake hakuna shida yoyote.
Guyz huyo jamaa wa Microfinace simjui na Sijakutana naye ila kuna kitu kikawa kina niambia nimuulize Wife na nimkazanie kuhusu Huyo mtu kwa nguvu mpaka aseme ikibidi Nitumie uongo wowote kama mwanaume..
Nilifanikiwa Kimlazimisha na kumuuliza hatimaye akaamua kugunguka kuwa yule Jamaa wa Microfinace alimbaka Yeye alipokuwa Ofisini kwake Kuchukua Kiasi cha Pesa Kilichobaki na wala haikuwa dhamiri yake.
Nikamuiliza Umereport tukio hilo akajibu "Hapana"
Nikamuuliza Ulipiga kelele akajibu "Hapana maana nisingesikika wala watu wasingeniamini"
Nikawaza sana huyu Wife nimezaa Naye watoto watatu..
Na anassma alimbaka Miezi minne Exactly tangu nilivyoondka ila nisingemuuliza Nadhani ingeendelea Kuwa story ya siri yake..
Ninawaza kumpa Talaka Tatu ila bado nahofu na watoto wangu Nimempa Talaka 2 ila akili yangu bado inaona nimeumizwa sana nastahili kufanya kitu ila bado moyo unavuja damu nifanye nini??
Naombeni wan JF mnishauri Nifanye Nini maana naumia Sana.
Na kwa maelezo yake Bado siamini kabisa.
Naombeni sana Ushauri maana ametishia Kujiua endapo sitamrejea
Ni kweli lakin kila mtu ana wakat wake mbaya wa kufanya maamuz mabaya so kuwa karibu na mkeo kuepusha madharaKuchepuka ni tabia ya mtu umbali una nafasi asilimia kumi kuchangia usaliti.
Unaweza ishi nae kila siku anakula dozi na Bado akauchafua nje mwili wake akuletee nuksi ndani.
Usaliti ni ishu ya kujitambua mtu anaejitambua huwezi kuta anajichafua nje
Alafu kwa nini mnaoenda kuzeesha watu? Yeye bado kikajana bwana.Miaka 46 sio kijana
Yeah kwenye ishu ya kuhama naye ni jambo la muhimu sana vinginevyo jamaa wa microfinance ataendelea kumsumbua na kumkumbushia jinsi walivyoenjoy siku ya kwanza hatoweza kumkwepa.Options
1.Kama kweli mkeo amenyanduliwa na huyo jamaa ameambie halipi hiyo balance iliyobaki.
2.Chukua mkeo na hama naye mkoa,nendeni mkapime afya zenu mkiwa safi endeleeni na maisha yenu.
Ila mpe ONYO kubwa akirudia atakula kwake.
Swali la kizushi je wewe ulimkuta bikra huyo mkeo?
Pole sana mzee wa makamo.(usipende kujiita kijana wewe tayari ni maji ya jioni)
Labda umfunge kamba.Ni kweli lakin kila mtu ana wakat wake mbaya wa kufanya maamuz mabaya so kuwa karibu na mkeo kuepusha madhara
Dah yani wewe badala ya kutoa ushauri unatusema wazeeMiaka 46 sio kijana
Namimi Ni.eandika Miezi Minne Na nusu, Nimekosea?Point of correction dokta, eda ya kufiwa ndio miezi minne na siku 10.