la mama
New Member
- Nov 11, 2023
- 2
- 4
Pole sana mkuu kwa hili
But pia unatakiwa kujua kuwa mahusiano sio ya watu wengi ni ya wew na mkeo so unavoomba ushauri u have to know humu unapoomba ushauri wengine wamevurugwa na maisha tayarii wanaweza kukupa ushauri wa kijinga na ww ushindwe kuelewa ukautumie just listen to your heart kinaongea nin ufanye maamuz yenye ambayo hayatakuletea majuto kwa mda mwingin
Lakini pia wewe una watu ambao ni kama viongozi maybe kwenye dini or kwenye ndoa yenu yupo ambae mnamueshimu just follow them afu sasa hao ndo watakupa ushauri
Sio kila mtu ni wa kukupa ushauri my friend. Pole sana for the situation
But pia unatakiwa kujua kuwa mahusiano sio ya watu wengi ni ya wew na mkeo so unavoomba ushauri u have to know humu unapoomba ushauri wengine wamevurugwa na maisha tayarii wanaweza kukupa ushauri wa kijinga na ww ushindwe kuelewa ukautumie just listen to your heart kinaongea nin ufanye maamuz yenye ambayo hayatakuletea majuto kwa mda mwingin
Lakini pia wewe una watu ambao ni kama viongozi maybe kwenye dini or kwenye ndoa yenu yupo ambae mnamueshimu just follow them afu sasa hao ndo watakupa ushauri
Sio kila mtu ni wa kukupa ushauri my friend. Pole sana for the situation