Nahitaji Vx V8 ya kukodi kwa safari za mikoani

Dah! Hatari sana.
 
RRONDO JF kweli ni bahari! Duh.....
 
Duuuuh noma sana lol.
 
Kumekuchaaah
 
Kimeumana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna gari nyingi sana zenye uwezo wa V8 na zinaweza kukufikisha hiyo route yako comfortably. Tatizo umeweka options mbili tu
Ndio anazotaka kaka....
au unataka umbandike na ambazo hataki!!?
wabongo mna akili nzito sana
 
Umeshapata gari? Oops nilitaka kusema uonane na Chakubanga mavieetee. [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…