Nahitaji wahudumu mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote

Huyo mangi kikofia nahisi ndio mwenye kazi
 
Hapana mkuu huwa nakwepa lawama, wadada wakifika sehemu hizo wakianza kutongozwa na wateja wanabadilika na utendaji unashuka.

Jitahidi utapata mkuu
Hilo halina shida kama kazi inaenda vizuri mimi huwa simzuii mrembo kuruka na mteja yoyote kwani huwa najua itakua ni moja ya kumvuta huyo mteja arudi tena na tena..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…