Naibu Waziri Abdallah Sagini: Mto Mara hauna sumu, endeleeni kutumia maji

Naibu Waziri Abdallah Sagini: Mto Mara hauna sumu, endeleeni kutumia maji

Kama maji yana shida kubwa madhara yake yanaweza kuonekana hata baada ya miaka 3, 5, 10 na kuendelea.

Hayo ni majibu mepesi sana kwa jambo linalohusu uhai na afya za watu.
 
Si alikuwa hapo hapo mtoni angeonyesha mfano wa kuchukua kikombe kuchota maji na kunywa kwanza.
 
mlio kuwa mnaeneza uongo + uzushi wa 'sumu' ndani ya mto mara mlicho kosea ni kutokuwa na data, kwanza mlipaswa kutengeneza data za uongo ndiyo muutie hatiani mgodi wa north mara, siku nyingine jifunzeni namna nzuri ya kutengeneza fitan / figisu figisu..
 
Mbunge wa Jimbo la Butiama (MB), Jumanne Abdallah Sagini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amewataka wananchi wa jimbo lake la Butiama kuondoa hofu kuhusu Mto Mara uliokuwa unasadikika kuwa na sumu.

Akizungumza na Wananchi wa jimbo lake la Butiama aliwaomba kuamini taarifa iliyotolewa na Kamati Maalumu ya Kitaifa iliyoundwa na Serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya Mto Mara iliyotoa taarifa kwamba chanzo cha mabadiliko katika mto huo ni shuguli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

"Jambo hili Serikali imetuondolea hofu tuamini kwamba tuko salama, Nasisitiza hakuna serikali duniani inapanga kuua raia wake, tahadhari zote zilizotolewa ilikuwa ni kujiridhisha na tuhuma hizo. Mto Mara upo salama mnaweza kuendelea kutumia," alisema.

Mbunge Sagini aliyasema hayo wakati wa mikutano na wananchi wa Kijji cha Wegero, Kijiji cha Buswahili, Kijiji cha Kirumi, Kijiji cha Kitasakwa na Kijiji cha Kwisero vilivyopo katika Wilaya ya Butiama baada ya kutembelea sehemu za mto huo Serikali zilizoathiriwa kwenye jimbo lake la Butiama ikiwa ni moja ya ziara yake Mkoani Mara.

Aidha, aliwauliza wananchi hao kama kuna madhara makubwa yaliyotokea kwa mifugo yao baada ya kutumia maji ya mto huo na kuwaeleza kuwa kama mto huo ulikuwa una sumu basi ni lazima mifugo ingedhurika.

Chanzo: Majira
Utata mtupu!!!
 
Mbunge wa Jimbo la Butiama (MB), Jumanne Abdallah Sagini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amewataka wananchi wa jimbo lake la Butiama kuondoa hofu kuhusu Mto Mara uliokuwa unasadikika kuwa na sumu.

Akizungumza na Wananchi wa jimbo lake la Butiama aliwaomba kuamini taarifa iliyotolewa na Kamati Maalumu ya Kitaifa iliyoundwa na Serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya Mto Mara iliyotoa taarifa kwamba chanzo cha mabadiliko katika mto huo ni shuguli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

"Jambo hili Serikali imetuondolea hofu tuamini kwamba tuko salama, Nasisitiza hakuna serikali duniani inapanga kuua raia wake, tahadhari zote zilizotolewa ilikuwa ni kujiridhisha na tuhuma hizo. Mto Mara upo salama mnaweza kuendelea kutumia," alisema.

Mbunge Sagini aliyasema hayo wakati wa mikutano na wananchi wa Kijji cha Wegero, Kijiji cha Buswahili, Kijiji cha Kirumi, Kijiji cha Kitasakwa na Kijiji cha Kwisero vilivyopo katika Wilaya ya Butiama baada ya kutembelea sehemu za mto huo Serikali zilizoathiriwa kwenye jimbo lake la Butiama ikiwa ni moja ya ziara yake Mkoani Mara.

Aidha, aliwauliza wananchi hao kama kuna madhara makubwa yaliyotokea kwa mifugo yao baada ya kutumia maji ya mto huo na kuwaeleza kuwa kama mto huo ulikuwa una sumu basi ni lazima mifugo ingedhurika.

Chanzo: Majira
yeye ameyatumia hayo maji?
 
mlio kuwa mnaeneza uongo + uzushi wa 'sumu' ndani ya mto mara mlicho kosea ni kutokuwa na data, kwanza mlipaswa kutengeneza data za uongo ndiyo muutie hatiani mgodi wa north mara, siku nyingine jifunzeni namna nzuri ya kutengeneza fitan / figisu figisu..

Tatizo haupo na wala hauna makazi kilumi ndio maana unaongea kwa dharau.

Tuache kuleta siasa kwenye Maisha ya watanzania.
 
Angekunywa kwanza hapo au kuyanawa kama mfano kwa wengine
 
Mbunge wa Jimbo la Butiama (MB), Jumanne Abdallah Sagini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amewataka wananchi wa jimbo lake la Butiama kuondoa hofu kuhusu Mto Mara uliokuwa unasadikika kuwa na sumu.

Akizungumza na Wananchi wa jimbo lake la Butiama aliwaomba kuamini taarifa iliyotolewa na Kamati Maalumu ya Kitaifa iliyoundwa na Serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya Mto Mara iliyotoa taarifa kwamba chanzo cha mabadiliko katika mto huo ni shuguli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

"Jambo hili Serikali imetuondolea hofu tuamini kwamba tuko salama, Nasisitiza hakuna serikali duniani inapanga kuua raia wake, tahadhari zote zilizotolewa ilikuwa ni kujiridhisha na tuhuma hizo. Mto Mara upo salama mnaweza kuendelea kutumia," alisema.

Mbunge Sagini aliyasema hayo wakati wa mikutano na wananchi wa Kijji cha Wegero, Kijiji cha Buswahili, Kijiji cha Kirumi, Kijiji cha Kitasakwa na Kijiji cha Kwisero vilivyopo katika Wilaya ya Butiama baada ya kutembelea sehemu za mto huo Serikali zilizoathiriwa kwenye jimbo lake la Butiama ikiwa ni moja ya ziara yake Mkoani Mara.

Aidha, aliwauliza wananchi hao kama kuna madhara makubwa yaliyotokea kwa mifugo yao baada ya kutumia maji ya mto huo na kuwaeleza kuwa kama mto huo ulikuwa una sumu basi ni lazima mifugo ingedhurika.

Chanzo: Majira

Ni Mambo ya Aibu sana haya!

Lakini kama wewe hautumii wala hauishi kando mwa Mto ama hautegemei Kipato chochote kutokana na Mto Huu Busara ni kuthamini wenzio wanaotumia Mto huo.

Wananchi wanalalamika kwa kuumia na Maji hayo alafu Mbunge unasimama na kutetea kwa kuwahamasisha waendelee kutumia.
Nashindwa kuelewa hawa wenzangu wanawaza nini hali ya Mungu [emoji2305].

Kweli tunakuwa Vipofu kwa level hii hatuwezi tumia hata Ubongo wa Mtu zezeta ambao unaweza tambua hii ni hatari kwa afya za Binadamu wenzetu?

Mito Mingapi Dunia haijawai Badilika Rangi kwa sababu hizi zilizotolewa na hii Kamati.

Imaumiza [emoji2305]
 
Hizi inaweza ikawa kama kipindi kile kulivyokuwa hamna corona ila kuna changamoto ya upumuaji🤣 naona na hayo maji hayana sumu... yana changamoto mbali mbali 🐒
 
mlio kuwa mnaeneza uongo + uzushi wa 'sumu' ndani ya mto mara mlicho kosea ni kutokuwa na data, kwanza mlipaswa kutengeneza data za uongo ndiyo muutie hatiani mgodi wa north mara, siku nyingine jifunzeni namna nzuri ya kutengeneza fitan / figisu figisu..
Sipendi matusi ila nimeona umuhimu wake kupitia hii comment


Kuna haja kutukana
 
Mbunge wa Jimbo la Butiama (MB), Jumanne Abdallah Sagini ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amewataka wananchi wa jimbo lake la Butiama kuondoa hofu kuhusu Mto Mara uliokuwa unasadikika kuwa na sumu.

Akizungumza na Wananchi wa jimbo lake la Butiama aliwaomba kuamini taarifa iliyotolewa na Kamati Maalumu ya Kitaifa iliyoundwa na Serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya Mto Mara iliyotoa taarifa kwamba chanzo cha mabadiliko katika mto huo ni shuguli za binadamu pamoja na nguvu za asili.

"Jambo hili Serikali imetuondolea hofu tuamini kwamba tuko salama, Nasisitiza hakuna serikali duniani inapanga kuua raia wake, tahadhari zote zilizotolewa ilikuwa ni kujiridhisha na tuhuma hizo. Mto Mara upo salama mnaweza kuendelea kutumia," alisema.

Mbunge Sagini aliyasema hayo wakati wa mikutano na wananchi wa Kijji cha Wegero, Kijiji cha Buswahili, Kijiji cha Kirumi, Kijiji cha Kitasakwa na Kijiji cha Kwisero vilivyopo katika Wilaya ya Butiama baada ya kutembelea sehemu za mto huo Serikali zilizoathiriwa kwenye jimbo lake la Butiama ikiwa ni moja ya ziara yake Mkoani Mara.

Aidha, aliwauliza wananchi hao kama kuna madhara makubwa yaliyotokea kwa mifugo yao baada ya kutumia maji ya mto huo na kuwaeleza kuwa kama mto huo ulikuwa una sumu basi ni lazima mifugo ingedhurika.

Chanzo: Majira
Ametembelea lini?
 
Back
Top Bottom