Naibu Waziri Mkuu: Magari ya Serikali yafungwe mfumo wa gesi asilia

safi sana mpango mzuri sanaa...si hawa chadema wanataka kuleta badili ya ubeligiji badala ya kuja na mipango ya maneleo kama hii wanakalia katibakatiba ushuzi mtupu
Kuna watu wa hovyo sana ona huyu sasa hawa Chawa shida kweli
 
Watu wata lala nae mbele si madereva si wafanyabiashara
 
Hivi hiki cheo kina Ofisi yake kweli? Yaan kuna katibu mkuu wake, wizara, wakurugenzi, etc? Nilidhan ni yeye tu ndio yuko pale hata gari ukute anatumia lile lile la Wizara ya Nishati.
nadhani inafanywa namna, kwasasa bila shaka kunaweza kua na kaimu katibu mkuu ofisi ya Naibu waziri mkuu ili kuepusha contradictions baina ya kazi na majukumu za wizara ya Nishati na ofisi ya Naibu waziri mkuu.

aina ya security na msafara wake vinajieleza kua ni ofisi iliyokamilika na inajitegemea.
 
Ondoa nadharia zako hapa kila mtu anajua iliyoandika siyo wewe tum Mbona kuna magari yanatumia gesi na nchi zingine kama India hata Bajaj zinatumia gesi.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.

View attachment 2749046
Amefanyia utafiti athari na faida za matumizi ya gesi asilia katika nchi yetu? Tuna infrastructure ya kuhudumia hayo magari? Nani atabadilisha mifumo hiyo katika magari ya serikali? Temesa ambao ndio wenye jukumu la kuhudumia magari na vyombo vingine vya serikali wana mawazo gani? Na je wana uwezo? Kubadilisha mfumo katika mavieiti ( maana haya ndio yanatumia sana mafuta) uta affect vipi performance yake? Na kadhalika, na kadhalika. Alipaswa kwanza kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kutoa tamko hadharani.

Amandla...
 
Ondoa nadharia zako hapa kila mtu anajua iliyoandika siyo wewe tum Mbona kuna magari yanatumia gesi na nchi zingine kama India hata Bajaj zinatumia gesi.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ukisemacho, lakini hizo gari au bajaj zinazotumia gesi leo, zilibadilishwa toka kwenye kutumia mafuta kuja gesi au zilitengenezwa kutumia gas toka day one?
 
Ni kweli ukisemacho, lakini hizo gari zinazotumia gesi leo, zilibadilishwa toka kwenye kutumia mafuta kuja gesi au zilitengenezwa kutumia gas toka day one?
Zinaongezewa mfumo wa gesi na ikitokea gesi ikaisha akiwa mahali ambapo hakuna gesi anarudi kwenye mfumo wa mafuta.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Sawa bavicha wazee wa kupinga kila kitu bila kutoa suluhisho
 
Zinaongezewa mfumo wa gesi na ikitokea gesi ikaisha akiwa mahali ambapo hakuna gesi anarudi kwenye mfumo wa mafuta.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Sawa uyasemayo, lakini, ni kwa gari zote za petrol na diesel, au petrol pekee..!!?? Wewe binafsi umeshaona gari ya diesel iliyoongezewa mfumo wa gesi? Binafsi najua gari za diesel huwezi weka gesi (kama nakosea ndo nielimishwe).

Magari ya serikali mengi sana ni ya diesel. Naibu waziri mkuu, aliposema gari za serikali zitumie gesi, alimaanisha watanunua gari mpya za kutumia gesi au wataongeza mfumo wa gesi kwenye gari zilizopo zote zikiwemo za diesel? Au hili la diesel wame-overlook?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…