Hayo yako nchi jirani ya kutaja kabila nayasikia kwako hapa kwetuWasukuma wana akili sana, safi sana Biteko.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yako nchi jirani ya kutaja kabila nayasikia kwako hapa kwetuWasukuma wana akili sana, safi sana Biteko.
Mjita huyo mkuu.Wasukuma wana akili sana, safi sana Biteko.
Hapo Biteko kaustukia upigaji wa mafuta serikalini.
Namshauri aanze pia kuwaletea magari ya umeme.
Katumwa na RA. ATAFIKA MBALINaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046
Naskiaga ni mutu ya KIGALII PUREMjita huyo mkuu.
Hawanaga jema hawa sukuma gang
Mradi mtu wao sasa kila kitu anafanya sahihi hata ripoti ya CAG watamtupia lawama January ikitoka
Umesahau mradi WA kutunza chura alisaini kalemani wakamtukana January?
Extension alisaini KalemaniMradi alisaini Bw. Abdallah Kigoda sio Kalemani. Siri vyura wa Kihansi kutunzwa Marekani
Apunguze kwanza msafara wake usikuwa na maanaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046
Haya ndiyo majangili makubwaMradi alisaini Bw. Abdallah Kigoda sio Kalemani. Siri vyura wa Kihansi kutunzwa Marekani
HatawezaWazo zuri lakini inabidi ajipange katika kulifanikisha hili, maana wafanyabishara wa mafuta lazima wataleta hila zao.
Kwahiyo mkuu hapa inatafutwa political mileage tu !Hataweza
Umeelewa swali langu?Gari lafungwa mfumo wa pili wa kutumia gesi badala ya mafuta. Hivyo baadae ule mfumo wa mafuta waweza kuondolewa au kuachwa umefungwa usitumike moja kwa moja. Zipo kampuni kadhaa zenye utanzu na kampuni za nje zinofanya mambo haya na huenda ndo ziko nyuma ya wazo la Naibu Waziri Mkuu.
Uuzaji mafuta waweza kuendelea kwani ipo mitambo na mashine nyingi ambazo zahitaji mafuta.
Mzee wa MSG ataridhia tu kwani yeye ana ufahamu na masuala ya maglobalists ambao ndo wataka magari yatumie mawe ya lithium.
Tanzania tunayo gesi ya kutosha hivyo tayari fursa imepatikana.
Yamekuwa deisigned hivyo toka kiwandani yalikotengenezwa au yalibadilishwa toka diesel au petrol kwenda gesi?... mfano tu; yale malori ya Dangote (50 tons) yaliyotapakaa nchi nzima yanatumia CNG. Africa's #1 billionaire ana-prefer CNG; serikali inayolia kila siku "kasungura kadogo" inaendekeza sio tu highly luxurious cars ila pia expensive running costs.
Tuombe uzima mpk March, 2024 kama utamsikia tena, huwa wanaanza kwa mbwembwe haswa baada ya hapo kimya, kwanza hajakutana na mafisadi yakampa bahasha nono na ahadi kibao, pia mfumo huu unaongoza na Msoga + RostamKwahiyo mkuu hapa inatafutwa political mileage tu !
Sio rahisi!Naskiaga ni mutu ya KIGALII PURE
Kagame ni mafya sana
Hivi hiki cheo kina Ofisi yake kweli? Yaan kuna katibu mkuu wake, wizara, wakurugenzi, etc? Nilidhan ni yeye tu ndio yuko pale hata gari ukute anatumia lile lile la Wizara ya Nishati.akianzia palepale ofisi ya Naibu waziri mkuu atakua ametisha zaidi
Gari nyingi kwa sasa tayari zina mfumo wa gas, nimeona baadhi ya daladala ambazo tayari zinamfumo huo.Mm nashauli... Waweke oda maalum huko yanakotengenezwa yaje yakiwa yameshafungwa mfumo huo wa ges..ila kukalabati haya , jinsi wanavyo weka mitungi ndani ya gari kuna mashaka sana kiusalama.
Ila yakija kutoka kiwandani tayar yana huo mfumo..naamini wanaweza kujenga mfumo mzuri wa mitungi. Maana kwenye kiwanda wanaweza kujenga mitungi ya bar cube, au pipe ambazo pia ikatengenezwa kwa uimala zaidi kutokana na shughli za kiserkali na umaalum wa hiyo mitungi.
Hapa madereva watamwendea kwa karumanzila kwakutaka kuondoa ulaji wao mkubwaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046