Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
🤣🤣🤣 NalemagaHene ubebe gete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 NalemagaHene ubebe gete
Ulemaga ki?🤣🤣🤣 Nalemaga
Kama ni lengo la kudhibiti matumizi ya serikali basi ni kwenye maeneo kama hayo mafuta ambayo huwa yamwagwa tu watu wajijazia tu mafuta kwenye hayo maV8 na hakuna stakabadhi au zipo za kughushi.The Boss Hii kauli angesema January Makamba kama naona ambavyo raia wangesema anataka kupiga hela kupitia gesi ya "Rostam" hahahaha.
Naona umemsoma dogo vyema sana. Kwa kifupi ametulenga sisi ili vituo vya gesi vijengweDaaaaa ametugusa wananchi
Lakini alipopagusa panaweza mletea tabu magufuli alilindwa na jeshilote. Matokeo yake hadi hatuelewi
Sasa nyumba ndogo za madereva itakuwaje ?Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046
Watoe tozo ya mitambo inayotumia gas ktk magari waache maneno,mafuta miradi ya watuNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafut
View attachment 2749046
Hiyo 10M watasema ni ndogo chukua:Wanaanzaga hivi hivi ila subiri ripoti ya CAG hutoamini macho yako. Utasikia mfumo wa gari moja umebadilishwa kwa million 10
Gas tunayo kilasiku tunalalamika mafuta ,tuhame hukoNaona umemsoma dogo vyema sana. Kwa kifupi ametulenga sisi ili vituo vya gesi vijengwe
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046
Haa
Dotto Ni Mapema Mno Yaani Utauwa Kampuni Za Watu
Naomba kuuliza kwa yeyote mwenye uelewa..!! Hivi kubadili system ya gari kutoka ya mafuta na kuja ya gesi, ni kwa magari yote ya mafuta ya petroli na diesel au petroli pekee..!!??
Kwa kua ni mpango wa serikali Vitakua nchi nzimaHayo magari yatakuwa yanatembea Dar peke yake ? Maana vituo vya Gass kwa magari sidhani kama vipo Kila mahali
Watalimia meno,mkuu wa idara ndio kitu ganiNa wakuu wa idara wanaopewa mafuta itakuaje....jamaa anataka kuwanyoosha
Msiogope mabadiliko,lazima nchi iende mbeleKatengeneza upigaji mwingine