myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Inaweza kuwa imeanza, isidumu ife au ichelewe.Kazi imeanza
Tanzania yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kuwa imeanza, isidumu ife au ichelewe.Kazi imeanza
Naomba kuuliza kwa yeyote mwenye uelewa..!! Hivi kubadili system ya gari kutoka ya mafuta na kuja ya gesi, ni kwa magari yote ya mafuta ya petroli na diesel au petroli pekee..!!??Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046
Tena Kwa Karibu SanaJk anam Zom tu
TENA HAKUNA...Eti kastukia upigaj [emoji1787][emoji1787][emoji1787]huu ni ukoo wa panya upigaj ni sehem ya kaz zao!! Amin nakwambia mfumo wa utawala ulivyo hakuna wa kupambana na ufisadi na wizi! Hakuna!!
Na Za Kutoka Kizimkazi Na Kule Kwa Wajomba Na
Hahahahaaaaa.
Huyo sio MsukumaWasukuma wana akili sana, safi sana Biteko.
Ajiandae kwa figusi figusi.Haa
Dotto Ni Mapema Mno Yaani Utauwa Kampuni Za Watu
Hapa ndipo tutajua kuwa kweli huyu Mzee ni mwizi namba moja duniani kama hili dili litashindikanaHahahahahah hapo atacheza kama Pele ila asichokijua ni kuwa mstaafu mmoja amewekeza kwenye sheli za bluu bluu kila mtaa 🤣🤣🤣 huenda kibarua chake kikaota nyasi kabla mpango haujakamilika maana mstaafu ndio infulensa wa shughuli zote za serikali!
Atapigwa Moshi Kama Wakati Ule Mzilankende Akiwa Ziarani RuangwaAjiandae kwa figusi figusi.
Huenda huyu jamaa ni mwema, muda utaongea
Kama ulikua kwenye mawazo yangu [emoji16][emoji16]
Kwanini wasianze kwa utaratibu wa kuanza kuagiza magri yenye mfumo wa gas kila wanapoagiza magari mapya? Hii ya kufunga mfumo wa gas naiona ni mzigo mwingine mkubwa sana serikali inaenda kuuingia ambapo watafunga hadi magari ambayo ni almost expired.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.
View attachment 2749046