Naibu Waziri Mkuu: Magari ya Serikali yafungwe mfumo wa gesi asilia

Naibu Waziri Mkuu: Magari ya Serikali yafungwe mfumo wa gesi asilia

Nasikia gesi haina ufanisi kwa kila gari ni model chache sana za magari ndiyo zinakuwa comfotable bila kusumbua zikifungwa mfumo wa gesi
 
Naomba kuuliza kwa yeyote mwenye uelewa..!! Hivi kubadili system ya gari kutoka ya mafuta na kuja ya gesi, ni kwa magari yote ya mafuta ya petroli na diesel au petroli pekee..!!??
... mfano tu; yale malori ya Dangote (50 tons) yaliyotapakaa nchi nzima yanatumia CNG. Africa's #1 billionaire ana-prefer CNG; serikali inayolia kila siku "kasungura kadogo" inaendekeza sio tu highly luxurious cars ila pia expensive running costs.
 
... mfano tu; yale malori ya Dangote (50 tons) yaliyotapakaa nchi nzima yanatumia CNG. Africa's #1 billionaire ana-prefer CNG; serikali inayolia kila siku "kasungura kadogo" inaendekeza sio tu highly luxurious cars ila pia expensive running costs.
Serikali ikianza kutumia itasaidia sana
Tena hii isichelewe ianze haraka iwezekanavyo
 
Kama Petrol/Diesel Filling Stations zinaweza kugeuzwa kuwa za kujaza CNG itakuwa rahisi. Kama sivyo, JK atapiga pini tu
 
Kama Petrol/Diesel Filling Stations zinaweza kugeuzwa kuwa za kujaza CNG itakuwa rahisi. Kama sivyo, JK atapiga pini tu
Petrol stations zilizo tayari zipewe tax holiday kwa ajili ya kuwekeza kwenye pumps na miundombinu mingine ya CNG kama tankers, etc. ili kuchochea matumizi ya gas badala ya mafuta.
 
Naomba kuuliza kwa yeyote mwenye uelewa..!! Hivi kubadili system ya gari kutoka ya mafuta na kuja ya gesi, ni kwa magari yote ya mafuta ya petroli na diesel au petroli pekee..!!??
Gari lafungwa mfumo wa pili wa kutumia gesi badala ya mafuta. Hivyo baadae ule mfumo wa mafuta waweza kuondolewa au kuachwa umefungwa usitumike moja kwa moja. Zipo kampuni kadhaa zenye utanzu na kampuni za nje zinofanya mambo haya na huenda ndo ziko nyuma ya wazo la Naibu Waziri Mkuu.

Uuzaji mafuta waweza kuendelea kwani ipo mitambo na mashine nyingi ambazo zahitaji mafuta.

Mzee wa MSG ataridhia tu kwani yeye ana ufahamu na masuala ya maglobalists ambao ndo wataka magari yatumie mawe ya lithium.

Tanzania tunayo gesi ya kutosha hivyo tayari fursa imepatikana.
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.

View attachment 2749046
The Boss Hii kauli angesema January Makamba kama naona ambavyo raia wangesema anataka kupiga hela kupitia gesi ya "Rostam" hahahaha.
 
Hahahahahah hapo atacheza kama Pele ila asichokijua ni kuwa mstaafu mmoja amewekeza kwenye sheli za bluu bluu kila mtaa 🤣🤣🤣 huenda kibarua chake kikaota nyasi kabla mpango haujakamilika maana mstaafu ndio infulensa wa shughuli zote za serikali!
Zile mbona pia Zina deal na gesi!! Hivi si humu ndio walimshtumu kuwa JK na Rostam wananufaika na umeme wa gesi ndio maana wanahujumu umeme wa Maji!! Sasa kivipi Tena kuhamia kwenye gesi ndio kuwakomoa?

JF huwa lazima itafute scapegoat
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Dotto Biteko ameelekeza utaratibu wa kubadili mifumo ya magari kutumia gesi asilia uanze na magari ya serikali na kuwa vituo zaidi vijengwe ili kupunguza matumizi ya mafuta.

View attachment 2749046
Utaachiwa magari yako watakwenda kwenye bodaboda na daladala ambako wasafiri husahau chenji.
 
The Boss Hii kauli angesema January Makamba kama naona ambavyo raia wangesema anataka kupiga hela kupitia gesi ya "Rostam" hahahaha.

Hawanaga jema hawa sukuma gang
Mradi mtu wao sasa kila kitu anafanya sahihi hata ripoti ya CAG watamtupia lawama January ikitoka
Umesahau mradi WA kutunza chura alisaini kalemani wakamtukana January?
 
Back
Top Bottom