Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Ndulane kashinda kwa kura halali.... Nikiwa kama mmoja wa Wasimamizi wa uchaguzi katika hilo jimbo nina uhakika kashinda kwa kura halali.... Ila kura za maoni ndani ya chama alipigwa chini, watu wakampa jimbo agombee wakamkata aliyeongoza(shida iko hapa).
Mungu anawaangaza mchana kweupe......!!!
Huyo kalazimishwa kuwa Mmbunge kwa KURA ZA WIZI ndo maana ameshindwa kula kiapo.?...!!!
 
Mimi kama raia mwema na mzalendo wa nji hii nina hakika Ndulane hakushinda kwa kura halali! Kila mtanzania mpenda Demokrasia ameshuhudia wizi wa kura na madudu mengine yaliyoonekana wakti wa Uchaguzi wa 2020.
 
Usinibishie mimi sio mataga, nakwambia ndulane kachaguliwa kihalali na wananchi.... Wala hatukupata tabu ya kuiba kura katika hili jimbo.... Vedasto kapigwa chini kihalali kwanza kilwa kaskazini hakuna Cuf..... Ccm ni wengi mno katika hili jimbo...... Jimbo lenye walakini ni kilwa kusini
Mimi kama raia mwema na mzalendo wa nji hii nina hakika Ndulane hakushinda kwa kura halali! Kila mtanzania mpenda Demokrasia ameshuhudia wizi wa kura na madudu mengine yaliyoonekana wakti wa Uchaguzi wa 2020.
 
mama SAMIA mkumbuke huyu jamaa wa TISS aliyeshindwa kuapa, mpe hata ukuu wa wilaya CHATO katika teuzi zake za jumatano hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…