Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara Paul Koroso, aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”

Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara Paul Koroso, aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”

Taarifa zinasema mkuu wa Idara ya Ujenzi Wizara ya Afya anaendelea na majukumu yake kama kawaida baada ya kubainika kuwa Naibu Waziri hana mamlaka ya kumshusha cheo mtumishi wa wizara

Dkt. Mollel alimvua Madaraka ya ukuu wa Idara ya Ujenzi Injinia Korosso baada ya manishano ya kitaaluma ya hapa na pale

pia soma - Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”
Wakati mkisifia wezi mtambue kwamba kinachoibwa huko halmashauri na kwingineko ni jasho la walalahoi.
 
Taarifa zinasema mkuu wa Idara ya Ujenzi Wizara ya Afya anaendelea na majukumu yake kama kawaida baada ya kubainika kuwa Naibu Waziri hana mamlaka ya kumshusha cheo mtumishi wa wizara

Dkt. Mollel alimvua Madaraka ya ukuu wa Idara ya Ujenzi Injinia Korosso baada ya manishano ya kitaaluma ya hapa na pale

pia soma - Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”
Chama kushika hatamu kuwe kwenye chama chenyewe siyo serikani.Hawa wanasiasa kwa muda mrefu wamekuwa wakiingilia kazi za kitaalamu.Hili liwe funzo kwa madiwani pia.Bravo km Ujenzi
 
Back
Top Bottom