Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka hapa barua ya kujiuzulu. Vinginevyo acha kupotosha.Ndugulile kajiuzulu mkuu. Hiyo ni janja ya Magufuli.
Na Prof. Lyamuya alijiondoa kwenye kamati ya UmmyMagufuli anaondoa wataalam. Faustine ni Dr wa magonjwa ya kuambukiza. Naibu waziri nje,CMO nje,GS nje. Waziri je ??????
Alipinga habari za kujifukiza na kuvaa barakoa za vitambaa, alitaka twende kisayansi zaidi wakati baba anawaza mbinaYetu macho. Magufuli anafikiri kutengua ndo kutaondoa Coronavirus ?Faustine kaboug wapi tena ?
Wapiga ramli mshaanza, tulia utasikia tu sababu maadamu masikio unayo.Ndungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona.
Ndungulile hakupigia debe matakwa ya bosi wake ya kutumia tiba za kienyeji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah kweliHuyu jiwe anataka mbumbu ili awapelekeshe au ukiwa msomi bas ujitoe ufahamu utumie akili za std 7 kama anavyofanya mwigulu au kabudi
Na me ndo ninachosubiria hicho hiyo speech si ya kukosa,, ila mkuu hii EAC itadumu kweli??Aisee yatavurumishwa makombora kesho hadi naona aibu.
Halafu Zitto kabwe akisema watu wanamshambulia kweli kweli.Magufuli bwana naona ana masihara sana. Ile kamati ya Ummy kumbe Prof. Lyamuya alijiuzulu uenyekiti na akajiondoa kamatini. Serikali hii ni ya ajabu sana sana.
Ndugulile amejiuzulu asitudanganye hapa!
Ndo sababu!??Alipinga habari za kujifukiza na kuvaa barakoa za vitambaa, alitaka twende kisayansi zaidi wakati baba anawaza mbina
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
Kaonewa kafanya mengi mazuri katika corona.Ndungulile alikua mtu ambaye yuko straight hana mambo ya kupindisha na sikuwahi kumsikia akimsifia mh Rais kwa unafki yeye alikua akijibu au kutoa shule kwa kile alichoulizwa basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upuuzi, kamati ishamaliza kazi yake kitambo na tiari ishawasilisha ripoti na haya muyaonayo leo ndio utekelezwaji wa mapendekezo, alipojiuzulu kwa nini hukutangaza humu?Magufuli bwana naona ana masihara sana. Ile kamati ya Ummy kumbe Prof. Lyamuya alijiuzulu uenyekiti na akajiondoa kamatini. Serikali hii ni ya ajabu sana sana.
Ndugulile amejiuzulu asitudanganye hapa!
Ujembe umfikie kibajaji na wenzakeUmmy vipi mbn anamuacha.
Yani mule kichwani kwa yule bwana kumejaa sifuri!
Alaf ma CCm wafia chama mpo kwenye chama miaka na miaka vyeo wanapewa chadema aisee mna moyo sana na bado mnakomaa tu mnahisi mtachaguliwa jiongezeni bwana