Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Alipinga habari za kujifukiza na kuvaa barakoa za vitambaa, alitaka twende kisayansi zaidi wakati baba anawaza mbina
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mbina😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipinga habari za kujifukiza na kuvaa barakoa za vitambaa, alitaka twende kisayansi zaidi wakati baba anawaza mbina
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kamati ipendekeze naibu aondolewe kisha waziri kamili abaki. Ujue unabishana na mtu mwenye akili na upelelezi wa hali wa juu wa mambo. Ukiona nimeandika kitu usijibu tena utumbo kama huu. Jiondokee kimya kimya.Acha upuuzi, kamati ishamaliza kazi yake kitambo na tiari ishawasilisha ripoti na haya muyaonayo leo ndo utekelezwaji wa mapendekezo, alipojiuzulu kwa nini hukutangaza humu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haa haa haaMbona mbina[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha... unaweza kucheka kana kwamba ni mazuri! Labda anamtegea Waziri na Waziri kaenda kushitakiUna tengua Naibu unaacha Waziri mwenyewe hii imekaaje
Dark Side
Hapo kwenye taaluma, administrative siyo lazima top leader wa organisation flani kuwa mwenye taaluma inayoendana na kile anachokiongoza ndo maana unaona Mwigulu yupo kwenye katiba na sheria japo kasoma uchumi n.k hiyo haina shida.Jiwe anafanya maamuzi ya kipuuzi sana anatoa wenye taalumu anaweka anawajua yeye bora angemwondoa Ummy Mwalimu hana utalamu hiyo wizara ni kama muuzaji uji ukampeleka kwenye kuuza dawa za mifugo
Huyu Msigwa naye anaishi Chato sasa? Atakuwa anakunja maposho ya kufa mtu . Kufanya kazi nje ya kituo cha kazi. . Hongera zake. Ila asisahau huko nyumbani mkewe wahuni wanaweza kuleta masikhara.Rais John Pombe Magufuli amemtengua Dkt Faustine Ndugulile, aliyekuwa Naibu Waziri Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Nafasi hiyo imechukuliwa na Dkt Godwin Mollel, Mbunge wa Siha, aliyeteuliwa Mei 16 kushika nafasi ya Dkt Ndugulile
Uteuzi wa Dkt Mollel unaanza Mei 16, 2020
View attachment 1452060
Hukwenda hospital, je ulijuaje kwamba una corona?Mimi nimeumwa Corona na sikwenda hospitalini, nimetumia njia za asili na nimepona.
Hata nikafungua uzi humu kutoa ushuhuda wangu.
Sayansi sio jawabu la kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaà aaaaaaa !!!! , sasa ni dhahiri 2015 hii nchi iliingizwa choo cha kike tena cha Bar ya Buza kwa LulengeUkiwa na "layman" kwenye masuala nyeti harafu mbishi, mjeuri na mwenye ego kubwa kuliko kichwa chake, ni tatizo.
Dr. Ndungulile alipinga huo ujinga wa kupropagate the so called nyungu bila facts (miti ipi, kiasi gani, ujifukize dakika ngapi etc). Pia alipinga mambo ya barakoa za kushona. Kiufupi alikuwa anampa shule Jiwe na kwa Jiwe hilo ni kosa kubwa
Nakazia[emoji419][emoji419]Alipinga habari za kujifukiza na kuvaa barakoa za vitambaa, alitaka twende kisayansi zaidi wakati baba anawaza mbina
Sent using Jamii Forums mobile app