Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu huna ulijualo kaa kimya, Masauni baada ya wizara kuvurunda aliondolewa? usijiaibishe hapa subiri Chuma atakueleza kwa nini kamwondoa na ninakuquote ili usije kuedit posts zako.Kwahiyo kamati ipendekeze naibu aondolewe kisha waziri kamili abaki. Ujue unabishana na mtu mwenye akili na upelelezi wa hali wa juu wa mambo. Ukiona nimeandika kitu usijibu tena utumbo kama huu. Jiondokee kimya kimya.
Kuna tetesi kuwa ni HGL
Ni bora kusimamia unachokiamini kuliko kupelekwa kama zezeta.Chagua utaalaamu ufe njaa au utii maagizo usife njaa
Hizo zenye C zinatosha!Science is a systematic exercise that builds and organizes knowledge in the form of testable explanations and predictions about the universe.
Pole Dr kwa kutetea sayansi. Watu wamepewa ruksa wanashona tu barakoa hazina A wala B
NimechekaaaaaaaHaswaàaaaaaaa !!!! , sasa ni dhahiri 2015 hii nchi iliingizwa choo cha kike tena cha Bar ya Buza kwa Lulenge
Ukiwa na "layman" kwenye masuala nyeti harafu mbishi, mjeuri na mwenye ego kubwa kuliko kichwa chake, ni tatizo.
Dr. Ndungulile alipinga huo ujinga wa kupropagate the so called nyungu bila facts (miti ipi, kiasi gani, ujifukize dakika ngapi etc). Pia alipinga mambo ya barakoa za kushona. Kiufupi alikuwa anampa shule Jiwe na kwa Jiwe hilo ni kosa kubwa
Umeacha ipagani!Naitisha maombi ya kuliombea Taifa na nchi yetu, kila mwenye imani na nia njema amuombe Mungu wake
Kabisa yaani!! Uzuri wa jamaa hapigi vijembe kisomi kama wenzake, kwa hiyo tujiandae kusikia mengi (YA NGUONI) kuhusu EAC kwa ujumla.