Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saa nane mchanaSaa ngapi mkuu nisitoke kideoni?
Kuna watu watapewa makavu live! Nahisi wanafanyiwa zoezi. Kudaadek! Lini anaapishwa?Anaapishwa lini, naona ni nafasi ya kumjibu R.Odinga, Kagame et al ilikuwa inatafutwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika sababu ni hiyo? Halafu hayo masayansi yamewasaidia nn ulaya na marekani wasife?Kumbe ufyoko ni kukataa "ukienyeji" wa nyungu,ushirikina na kuwa "mweledi"!!??
😁😁😂🤣Kuna watu watapewa makavu live! Nahisi wanafanyiwa zoezi. Kudaadek! Lini anaapishwa?
Dah kumbe ukiunga juhud mkono tayar una chakoNdungulile alitaka sayansi itawale na sio ujinga wa nyungu sijui kujifukiza ambako hakuna ushahidi wa kisayansi kama kunatibu ugonjwa. Hii iko kinyume na matakwa ya boss anaetaka ujinga ndio utumike kama tiba ya corona...
Una uhakika sababu ni hiyo? Halafu hayo masayansi yamewasaidia nn ulaya na marekani wasife?
Hongera Dr faustine ndungulile. Hakika jina lako litaandikwa kwa wino wa dhahabu kwa sababu ulikataaa nyungu na mask fake.
Atleast ulijitahidi.
komesha korona
Nijibu hilo swali la pili kwanza...unakimbilia kuniuliza huku hujanijibu maswali yoteNipe wewe ufyonko alioufanya,maana umeandika ukifanya ufyonko tuu...knocked out.
Amekataa nyungu vipi ? Mask fake alizokataa zipi ?
He is incompetent
Sema jamaa maisha yake sio mabovu Coz ni doctor wa kutegemewa S.AMaisha. Si unajua mishahara ya ma Dr ?
Siku zote ulikua wapi hujayasema hayo?
Je,kukomesha wizi ni kazi ya mbunge au polisi?
Barabara zinajengwa na mbunge au serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app