Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

Naibu Waziri wa Afya: Nikiona PDF ya Zuhura haipo kwenye Instagram ya Ikulu nakuwa na 'confidence'. Mh. Rais nakushukuru sana kwa mimi kunusurika!

Ukisikiliza sana na kuangalia kwa kina shida zilizoko hii nchi unaona kabisa kuna sababu mahususi zakupumzisha hii serikali ya Ccm.Kwasababu uwezo wao wakufikiri na kutenda umeshaisha.Zilizobaki ni porojo za kusifu na kuabudu ili matumbo yao yaendelee kushiba.CCM haiwezi tena kuleta maajabu kwenye hii nchi.
 

nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.

Huyu jamaa commedy ndio maana alimuambia Magufuli Mungu ampe Corona …
Huyu anaweza hata kulamba Viatu ya watu kama anaafikia hadi kujipendekeza kwa Mchengerwa
 
kuweni kama Ally salum Hapi mkuu wa mkoa alieondolewa hababaiki na uteuzi wowote na yupo vizuri sana kuliko alivyokuwa mkuu wa mkoa
 
Yaani waziri anaangalia tumbo lake tu, hili ni zihirisho tosha, eti nimesurika, ushenzi mkubwa huu
 
20230407_161719.jpg
 
Hayo yanahusiana na nini na huo mkutano wa hadhara
 


nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.

Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa nimeacha Instagram emoj ipo juu, nikaona kama kitu kimepita pale nikaogopa kuangalia nikawa naangalia simu nyingine kuangalia nini kinaendelea. Nikaona mtu ameniambia hongera mdogo wangu nikajua Mkuu nimenusurika.


Mh. Rais nakushukuru sana, nikathubutu kusoma ile kitu. Mh. Rais Nakushukuru sana kwa mimi kunusurika"

Alisema Naibu Waziri wa Afya Godwin Mollel, alipopewa nafasi ya kutoa neno katika hafla ya ufunguzi wa barabara ya Mtwara leo Sptemba 15 2023.
Ni unafiki na umungumtunization!
 
Back
Top Bottom