Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

hawajitamui hata kidogo
 
Sijajua ulichowaza na taarifa ulizonazo kabla ya bandiko lako, nakubaliana nawe kwenye kubadilsisha uongozi hasa ukizingatia kwenye siasa kiongozi anachaguliwa nje ya mkutano na baadaye kuthibitishwa tuu mkutanoni, Hakuna chama cha siasa kitakachotaka kupewa kiongozi anayekuja kufanya majaribio ya uongozi, kila chama kingependa kuwa na mtu dhabti na anayetabilika kwa maana ya sera ya chama husika.
Nasidhani kama Mbowe hajachoka kuongoza chadema, ila nadhani strategy ya washindani wao imewaogofya hasa kwenye ununuzi wa raslimali watu jambo ambalo ni hatari kuliko mbowe kuwepo ili kujihakikishia wanapata mrithi sahihi.
Watakao mchagua huyo uliyemtaja hawana akili kabisaa, na utaona chama kitakapoishia. Bora Mboe kuliko huyo mwingine kwa sasa.
 
Huwezi kuwashauri watu wazima na akili zao kwa kuwaambia hawajitambui. Hili ni tusi linalotosha kukurudishia matisi yote unayostahili. Kwa bahati wengine hatuna hulka ya matusi na kashfa. Na kwa vile wengine ni wapinzani tusio na vyama tunakujulisha rasmi kwamba hatuwezi kukuunga mkono unapotukana watu. Hata ungesema ccm hawajitambui bila kujali siwapendi bado nisingekuunga mkono. Wewe binafsi hujawahi kuface machungu ya kuwa mpinzani wa kisiasa nchini. Hao unaowaona hawajitambui wamekuwa wakipigwa na kupewa kesi za uongo kila uchao na hawajakata tamaa. Wewe umeitwa Mara moja tu Kamati ya haki na maadili ya bunge tayari umebadili mwenendo. Sijui kati yako na hao unaowasema nani hajitambui? Kwa mustakabali wa demokrasia kufa au kufifia kwa CDM ni kurudi nyuma kwa Taifa, kwa hiyo chochote watakachokifanya kesho hakipaswi kuwa cha majaribio, wanapaswa kufanya kwa uhakika na kuhakikisha aidha hawarudii makosa au hawafanyi makosa mapya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ukwel mchungu kwake kama kwl anajiamn na kujitambua mbna kashindwa kuleta mrejesho ktk kile kitimoto alichowekwa?tunataman sana wenzetu waumie kwa ajili yetu na.sisi tuendelee na mambo yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu humu wamekuwa wakichangia kwa uchungu kuwa vyama vya upinzani na hasa CDM havijafanya vya kutosha.

Wamethubutu hata kusema mambo gani vyama vilipaswa kufanya.

Lakini tujiulize, hao watu kwanini hawapendi kuingia na kushiriki wenyewe katika vyama? Kwanini wawe watazamaji tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njaa znasumbua sana watu. Hvi kweli mtu unajisema wewe #Mayala huna chama wakati tunakujua tayari uko na vazi la kijani! Chadema hawajawahi Fanya ujinga huo mpaka Leo hawana mbadala wa mbowe labda angekuwa tundu lisu ndo tinge amini ni kiongozi kweli mbadala wake, mwambe ni mzuri lakni co kwa uenyekiti wa chama. Chama kinahtaji mtu makin sana na asiyeweza yumbishwa na watawala. Mwambe anaweza kuvumilia mikiki mikiki aliyo ipata mbowe bila kujisalimisha? Hapana! Kama kunampango wenu mlipanga mmpigie kampeni mwambe awe mwenyekiti muweze kukiua chama bado mda wake. Mwakan kuna Pambano kubwa sana kati ya Magu na Lisu, mimi nmeanza kuhofu na huyo mwambe wenu huenda mnamtaka mje mumnunue ili Lisu asipitishwe kugombea. Safu ni ileile msubili itawatoa jasho tena mwakan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ukweli mtupu, yeye ndo hajitambui maana huwezi shikwa mdomo kwa kutiahiwa kubambikwa kesi halafu unaanza kutapatapa bila kujua unaowatetea wana langi gani. Pascal Mayala nafasi za uteuz zmejaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenzako yuko kazin,kutoka kwa wale jamaa zetu,anajaribu kurubuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umasema chadema hawajui wanataka nini ,mimi naona wewe hujui una andika nini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasco achana na sisi, pambana na hali yako huko CCM ,nakushangaa uliondoka Marekani kuja kula ugali mbovu wa Tanzania badala unge settle life huko USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwanza unaelekea hujiamini na huamini hata maoni yako wewe mwenyewe kwa sababu unaandika ukiwa SO DEFENSIVE bila sababu za msingi ukiachilia ya kupondwa na kupingwa kwa "lugha kali" na wana-CHADEMA kindaki ndaki humu....

Unashangaza kidogo kwa hili. Umesahau kuwa unaandika ukiwa ndani ya JF SIASA hapa. Na so long as unaandikia jukwaa la siasa, basi usitegemee hoja yako kujibiwa kama vile wote humu ni CCM - MAGUFULI PRAISE TEAM....!!

Back to the point of discussion;

By the way, ukiacha kulalamika na kujihami kwako kusikokuwa na sababu zozote za msingi, hoja yako hasa hapa ni nini?

You said, if they want to survive, then they have to do the right thing, right?

What is that " right thing?" that has to be done??

Is it to vote for Cecil David Mwambe to the position of the National Party chairmanship?

Je, ni kwamba wachague mapenzi yako wewe na waliokutuma kupeperusha propaganda nyepesi nyepesi kama hii?

Kufa kwa CHADEMA ndugu Paschal ni unabii wa uongo ulioanza tangu enzi za Mkapa na kupata nguvu sana wakati wa CCM dhaifu ya Jakaya M. Kikwete, lakini, yet, CHADEMA strongly survived and it kept growing up very tremendousily...!!!

And are you again resurrecting the same dead-day-dreams again?....You must be a joker!!

Mimi binafsi, for sure, naamini kwa zaidi ya 99% ya possibility, ni Mr Freeman Aikael Mbowe ku - retain nafasi yake ya uenyekiti taifa....!!

If that happens (and it's going to be so), natamani kuanzia kesho kutwa Alhamisi uje hapa sasa uje uthibitishe namna wana CHADEMA "wasivyotambua"...

Na zaidi sana, uthibitishe KIFO CHA CHADEMA kwa sababu kwa maoni yako, unadhani kumchagua Freeman Mbowe ni kuchagua kufa kwa CHADEMA na ni KUTOJITAMBUA kwao
 
Kwa kuwa "CHADEMA SIKU ZOTE HUWA HAWAJITAMBUI" Wewe ni PASCAL MAYALLA KABISA???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetamani kusikia zaidi namna unavyomfahamu Mwambe, hasa harakati zake za siasa, alikoanzia na hapa alipo. kwa ufupi umesema Mwambe ni 'strategics' kwa yapi aliyofanikisha.
 
Chadema ni taasisi. so ikitengeneza road map, tuseme sera madhubuti na mikakati then any one can walk on those bila kujali ni Mbowe, Mwambe or what, whoever! Dunia halisi haihitaji mitume na this is our problem ndo maana mapambio ya sifa na utukufu kwa wafalme hayaishi kwa mtu mweusi.
La muhimu ni kusugua vi chwa na kuweka strategies ambazo zitalazimika kufuatwa na yeyote. P, I take you as a great mind but now you seem to turn to personalities. Mbowe will go one day and afterall he is not a mwanafalsafa na mwingine pia atatoka but cdm as an instituyion has to remain. Ccm has also to remain but tunavisaidiaje vyote viwepo kwa faida ya Tanzania?
I want ccm, I also want chadema. These two have to be there but how do we help them.
Wajinga humu wamekalia chuki na wivu no mawazo ya kujenga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi maowabeza wapinzani humu mngefanya nini kama upinzani usingekuwepo. Mngewabeza kina nani au mngeenda kulima matango.
Ni vizuri tujifunze kujenga na sio kubomoa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma huu uzi wa Paskali nimemumelewa maandishi yake huwa anandika kama kunashinikizo fluni hivi, uzuri ipo siku atakuja kusema hapa nilikosea mimi binadamu tu tugange yajayo, ushauri aliutoa hauna nianjema kwa Chadema naamini naamini akirudisha ile hali yake ya zamani wakati anajiita Pasco itamsuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…