Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

Nimesoma huu uzi wa Paskali nimemumelewa maandishi yake huwa anandika kama kunashinikizo fluni hivi, uzuri ipo siku atakuja kusema hapa nilikosea mimi binadamu tu tugange yajayo, ushauri aliutoa hauna nianjema kwa Chadema naamini naamini akirudisha ile hali yake ya zamani wakati anajiita Pasco itamsuta.
Unasikia, Cecil mwambe anaweza kuwa sio sahihi kama asemavyo Pascal Mayalla lakini Mbowe pia sio mtu sahihi kwa siasa za sasa na kwa maono ya mbali ya kutupatia chama mbadala kitakacho tuletea maendeleo ya kweli.

CHADEMA sasa kwa muenendo wake na matendo ya viongozi wake kinajitanabaisha kama 'shadow copy' ya NCCR, CUF na TLP na kinaenda kufa kwa namna ileile. Jina lake linabaki kuwa CHADEMA lakini daily operations zinaendeshwa kama vyama nilivyovitaja mwanzo.
Dalili kubwa ya haya nisemayo ni chama sasa kinaendeshwa kama mali flani ya kikundi kidogo cha wanachama wachache wenye hatimiliki.
Kitakuwepo jina tu na wasubiria ruzuku. Na hili la ruzuku mfaidika sio Mbowe pekee kuna watu wapo nyuma yake ndio wanaompotosha kwa baadhi ya maamuzi ya ajabu.
 
Kuwa chama kikuu ni lazima uwe na wabunge wa kutosha

Nakuhakikishia 2020 Chadema haipati mbunge hata mmoja........ACT watapata kadhaa kule Pemba lakini siyo bara!
Unadhani ni kwanini 2020 Chadema hawatapata wabunge? He nikwasababu chama hakifai au nikwasababu kinanyimwa haki yake ya kupata ushindi? Unadhani wabunge Chadema iliopata 2015 walikuwa ni hao tu au wengi walinyanganywa ushindi na tume ambayo bila aibu na kwauwazi kabisa haitendi haki na ambayo ni tawi la CCM?

Kama unataka uone nguvu ya Chadema, toa Uhuru na usawa katika uchaguzi. Watangazwe waliopigiwa Kura na siyo wale mnaowataka. Just let there be a free and fair elections and you will see who is loved.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye product life cycle Mbowe yupo "declining stage"
Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, kiukweli sisi wazee hatuupendi kweli uzee due declining stage. Hata mimi mimi baada ya kukata 50+, nywele inapoanza kupiga bati wengi wetu ama wananyoa vipara au wanapiga black, wajukuu walipoanza kutokekelezea na kuitwa babu nikaanza kuona noma, nawambia bora mniite grandpa ni afadhali kidogo kuliko babu!. Rounds zilipoanza kupungua kutoka doze ya 3 kwa siku, daily siku zikaanza kupungua zikianzia 3 times a week, 2 times a week sasa only once a week tena round yenyewe moja, kiukweli unaanza kukosa amani na kuhusi kusaidiwa.

Uzee usikie hivyo hivyo, wakati wazee kwa wenzetu wanajipumzikia, huku kwetu wazee ndio they want more!.

Wazee wawapishe vijana.
P
 
Jibu la maswali yako ni fupi sana. Watanzania tuna tatizo kubwa juu ya namna tunavyofikiri na tunavyoji 'behave'. CHADEMA' ni sehemu ya watanzania, kwa hiyo watakuwa na tatizo hilo kwa vyovyote vile.

Nini cha kufanya, watokee watu ambao interest yao sio vyeo bali kutengeneza misingi ya mabadiliko ya kijamii ya kimtizamo na kitabia, swali ni ikiwa watu hao tunao na wana uthubutu wa kufanya hivyo? Zaidi ya hapo haya mengine ushabiki tu usio na faida yoyote
Mkuu Aziz Musa, watu hao ndio kama huyu Mwambe, namfahamu fika, jamaa ametoka familia bora, ameingia uongozi kwa ari ya kuwa mtumishi wa watu.
P
 
Njaa inamsumbua,mambo ya cdm hayamuhusu na nadhani ajikite na chama chake cha kishetani tu
Huyu Bagheshi akishashiba magimbi huwa anaandika matope ya majarubani hana lolote.
Kazi kujifanya neutral wakati wana nzengo tunamjua puuu!
 
Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, kiukweli sisi wazee hatuupendi kweli uzee due declining stage. Hata mimi mimi baada ya kukata 50+, nywele inapoanza kupiga bati wengi wetu ama wananyoa vipara au wanapiga black, wajukuu walipoanza kutokekelezea na kuitwa babu nikaanza kuona noma, nawambia bora mniite grandpa ni afadhali kidogo kuliko babu!. Rounds zilipoanza kupungua kutoka doze ya 3 kwa siku, daily siku zikaanza kupungua zikianzia 3 times a week, 2 times a week sasa only once a week tena round yenyewe moja, kiukweli unaanza kukosa amani na kuhusi kusaidiwa.

Uzee usikie hivyo hivyo, wakati wazee kwa wenzetu wanajipumzikia, huku kwetu wazee ndio they want more!.

Wazee wawapishe vijana.
P

Jumapili Moro marathoni tulikua na babu kutoka kilosa ana miaka 78 alimaliza mbio za km 21. alinipita pale mlimani bomani kama utani huku akinipa maneno ya kunipa nguvu. Kazana mazoezi mpaka ktk age ya 64 utakua bado na nguvu ya kupiga round 3
 
Pascal Mayalla kwani CDM walikufanya nini? Dah unasiliba mwanzo mwisho
Mwambe na Mbowe are you serious
Mwambe yupo kimaslahi zaidi kuliko Mbowe
Mbowe ana uthubutu anakosea sehemu sehemu lakini ni jasiri
Usituchanganye buaana
Bora zimwi ulijualo
Mwambe amewatuma mmpigie kampeni mikoani tu hawamjui
Hebu tuondolee vizabizabina
Mbowe anawaumiza sana eh!
 
Pascal Mayalla kwani CDM walikufanya nini? Dah unasiliba mwanzo mwisho
Mwambe na Mbowe are you serious
Mwambe yupo kimaslahi zaidi kuliko Mbowe
Mbowe ana uthubutu anakosea sehemu sehemu lakini ni jasiri
Usituchanganye buaana
Bora zimwi ulijualo
Mwambe amewatuma mmpigie kampeni mikoani tu hawamjui
Hebu tuondolee vizabizabina
Mbowe anawaumiza sana eh!
Laiti ungelijua, amini usiamini, Ukiondoa matukio ya tenders za Publicity na consultancies, mimi situmwi na mtu, na japo Mwambe namjua lakini hajanituma.
Hivi ni kweli mpaka hapa Mbowe alipoifikisha Chedema, wana Chadema mnaojitambua, bado hamjagundus hapo ndio optimum peak yake?.

Kwenye political dynamism ya sasa na political dynamics za Magufuli, ukitaka kufanikiwa, lazima uwe moderate politician, Mbowe ni hadliner, Lissu ni extremist, Mwambe ni moderate, kama kuna jambo lako unataka kufanikisha kwa Magufuli na umeishajua Magufuli anapenda kusifiwa, Lissu will never bow down, Mbowe will bow kama alivyo bow juzi pale Mwanza lakini hakusifu hivyo Mbowe will not get what he wants, Mwambe will bow down na atasifu and gets what he wants, who is better?.

Kesho mchagueni Mwambe nyinyi watu mpate mabadiliko.
P
 
Na mimi nasema atakayempigia kura Mwambe akitoka hapo aende Mirembe.
Naunga mkono hoja, wampigie Mwambe as many as possible, waende Mirembe ili wampeleke Ikulu, 2020 Ikulu ni Chamwino sio Magogoni, Mirembe is closer!.
P
 
Kwanza ni kauli ya kipuuzi kusema hawajitambui,that is very derogatory... wote tunafahamu siasa za chama tawala,ubabe,undava nk. kimsingi siasa za upinzani ningumu sana na zinahitaji MTU aliyetayari kunyang'anywa haki,kuteswa,kuonewa,kufungwa,kutishwa,kushawishiwa lakini akabaki na msimamo wake!! Kina cheyo,mrema,lipumba nk. hawakuwa wajinga sana lkn wako hoi taabani.
Kabla hujalaumu hovyo nivyema kujiuliza uwanja was mapambano uko Fair kiasi gani? Kamtembelee Lissu ndipo uje kuposti vijioni vyako huku ukijificha kichaka cha waoga (sinachama). Chadema bado wanamwitaji mbowe na itawacost wakijitia demokrasia ya kubadili-badili as if ninguo au msosi!!
 
Back
Top Bottom