Naingia Shambani very serious kulima Alizeti

tunataka waliovuna watupe mrmrejesho, mbona wanakula Kona na mwezi huu NI Mei mashamba yote ya ukanda wa kati wanavuna Sasa
watushushie hesabu zao km sio za daftarini za matikikiti maji

Mwenyekiti wa observers
Maendeleo ni mazuri

Mimi sijavuna sababu ya mvua

Ila soon navulbaar nakupitishia mafuta hapo.
 
Mkuu alizeti gunia haitoi dumu mbili... ikitoa sana dumu moja tu na kichele
 
mb

mbona pame andikwa 30,000 wewe efu 3 hiyo ume itoa wapi maana hata hesabu yenyew ya jumla ame kuandikia 600,000
Kaandika el tatu halafu akaweka koma baada ya 30...yani 30,00....sa hyo ni sh ngap hapo..
 
Mwenyekiti wa observers
Maendeleo ni mazuri

Mimi sijavuna sababu ya mvua

Ila soon navulbaar nakupitishia mafuta hapo.
Dada yangu nipitishie, mm nimeshavuna, bado eneo moja nitaenda May mwishoni, eka 15 za mwanzo nimepatwa gunia 18 nyingine imebaki shambani wataivuna baadae
Walichoniudhi wananishauri niiuze kila gunia 90,000/ na kuna walanguzi kibao wanasarandia
Ila imenikata NI wastani wa gunia moja na nusu kwa eka, pia upepetaji mbaya, wamedondosha Sana Alizeti ambapo huenda nilipoondoka waliirudia
Ukweli ndio huo nimepigwa ngoja nisikie wenzangu km wanapaita guni 18 kwa eka HICHO NDIO NAKATAA
 
Yaani inatakiwa usimamie na hizo walizookota ilitakiwa uzikusanye na udongo wake alafu uwape watu wengine Kazi ya kupeta.
 

Ulipanda mbegu gani?

Kwa nini usikoboe ukauza mafuta?

Lita tano ni 32,000
 
Ulipanda mbegu gani?

Kwa nini usikoboe ukauza mafuta?

Lita tano ni 32,000
Wliniambia wana Duka la prmbejeo hapo kijijini na mbegu ilikuwa Record kilo moja 8,000/ hapo ndipo nilpoanza kupingwa, Kuna ingine kilo 40,000/ ISAN ipo ya Kenya
Nasubiri wenzangu humu JF wapepete
 
Wliniambia wana Duka la prmbejeo hapo kijijini na mbegu ilikuwa Record kilo moja 8,000/ hapo ndipo nilpoanza kupingwa, Kuna ingine kilo 40,000/ ISAN ipo ya Kenya
Nasubiri wenzangu humu JF wapepete

Oooh zile za serikali

Mi nimepanda zote

Nilinganishe matokeo
 

Gunia 18 HAIPO hiyo mkuu
Ndio maana kwenye makadirio yangu nimeweka gunia 4 tu

Hapo kamua mafuta na uweke stoo mafuta angalau utarudisha gharama
Ukiuza alizeti itakukata
Wastani wa gunia moja na nusu per ekari sio mzuri

Mwezi huu navuna yangu
 
Mleta mada kama uko serious njoo pm nna shamba Simanjiro ekari 15,000 nina ma trekta mawili. Mwaka jana nilianza Na ekari 100 za maharage tu. Mwaka huu nataka kuongeza mahindi, alizeti Na katarm. Njoo tuunganishe nguvu.

fisi 2 nakutafuta.
Nichek inbox tuyajenge
 
Mkuu vipi kilimo cha alizeti Kwa mikoa yenye mvuà nyingi kama nyanda za juu kusini ....je inastawi vizuri na mavuno yanakuaje?
Inakubali na inalimwa sana Sumbawanga na chunya ata juzi nmetoka kuchukua mzigo sumbawanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…