Mkuu pambana ukishamaliza kamua kabisa unipe mafuta nikusadie kuyauzaMkuu ninaposema nimedhamiria namaanisha
Mashamba tayari nafanya mchakato wa mbegu hapa
Lakini mkuu kweli nianze kulima tu bila kujua nategemea kupata nini?
Na mbona nimeainisha from A to Z? Au wewe umeona mashudu na mafuta tu[emoji23]
Kuhusu katan mkuu huko ninapolima hawana uzoefu nalo nimekosa taarifa za kutosha ndio maana nikaona nikomae na dengu
Kama nvua zitaruhusu nataka niingize trekta shambani Desemba mwanzoni kabisa au Novemba mwishoni
Dengu inaviziwa mvua za mwisho kabisa mwezi wa tano au hadi wa sita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo mpaka alizeti mnataka tumwagilie?
Naomba nikupe ushauri kidogo hapo, usidharau mbegu za kienyeji ziko vizuri sana chamshingi inatakiwa ujue unalima mbegu gani.Kama umepata chimbo la mbegu naomba unielekeze please ile ya kienyeji inanipa msongo wa mawazo
Hizo zote hazina visiki? Naweza ongezea trekta moja hapo. Au umemlenga mleta maada tuMleta mada kama uko serious njoo pm nna shamba Simanjiro ekari 15,000 nina ma trekta mawili. Mwaka jana nilianza Na ekari 100 za maharage tu. Mwaka huu nataka kuongeza mahindi, alizeti Na katarm. Njoo tuunganishe nguvu.
Tupe kidogo kuhusu performance yake?Hizi kwa mawakala inauzwa 28000 hadi 30000. Kwa baadhi ya maeneo serikali imetoa kwa 7000 kwa vikundi vya vijana waliosajiliwa.
Kama unajitegemea, nenda kwa mawakala japo aina hii kdg n adimu ila ukiipata n bei hio kwa juu
Siku zote natafuta wa kunisaidia kuuza mafuta yangu kumbe watu moo humu[emoji23]Mkuu pambana ukishamaliza kamua kabisa unipe mafuta nikusadie kuyauza
sawaNaomba nikupe ushauri kidogo hapo, usidharau mbegu za kienyeji ziko vizuri sana chamshingi inatakiwa ujue unalima mbegu gani.
Hii mbegu hapa usinichukulie poa iko vizuri
Chamsingi ni timing ma spacing. View attachment 2002849View attachment 2002850View attachment 2002851View attachment 2002857
Hapana Mkuu hawakudanganyi ila inategemea na ardhi unayolima na namna ya upandaji.Alizeti haipandwi Kama mahindi mkuu.Ni kweli kabisa.
Binafsi sijawahi kusikia mtu amwvuna alizeti zaidi ya gunia 7 na nadhani hawa watu wa pembejeo wanatudanganya Ili wauze mbegu za za Hybrid.
Mimi nitakomaa tu na mbegu zangu za opv
Hii nzuri, songa mbele na ndoto yako usikatishwe tamaaWakuu
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo
Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu
Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu
Eneo SINGIDA kwetu kabisa
Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50
👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2
Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15
MAVUNO (makadirio ya chini)
Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350
Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)
350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji
JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida
DENGU
Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena
👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12
MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu
Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1
Laki 1 x gunia 200 unapata M 20
JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida
FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28
NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi
Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei
Dua zenu jamani
Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win
Inahimili sana shortage of rainfall so ni nzur sana kwa mikoa inayopata mvua chache kwa mwaka,Tupe kidogo kuhusu performance yake?
Mbegu laki 7? Ni mbegu gani mkuu
Hizo zote hazina visiki? Naweza ongezea trekta moja hapo. Au umemlenga mleta maada tu
Utatoa mlio kijanaWakuu
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo
Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu
Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu
Eneo SINGIDA kwetu kabisa
Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50
👉Kukodi shamba m 2.5
👉Kulima shamba m 2.5
👉Kupanda m 1
👉Kupalilia shamba m 2.5
👉Mbegu lk 7
👉Uvunaji/upakiaji m 2
👉Mengineyo m 2
Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15
MAVUNO (makadirio ya chini)
Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350
Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)
350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji
JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida
DENGU
Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena
👉Kulima m 2.5
👉Mbegu m 2
👉Kupanda lk 5
👉Madawa (emergency) m2
👉Kuvuna/kupakia 2m
👉Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12
MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu
Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1
Laki 1 x gunia 200 unapata M 20
JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida
FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28
NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi
Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei
Dua zenu jamani
Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win
Bei ya soya ikoje huko sokoni kwa sasa? Sio kutuambia tulime tu.Msisahau pia kulima soya lishe ni hot cake kwa sasa wachina wanaihitaji sana mwaka huu wamenunua hadi wakakosa mzigo pesa ikabaki, mbegu bora fikeni Uyole kilimo pale na haihitaji mbolea, inauzika soya sijawahi kuona mjitahidi kulima hili zao mtakuja kuniambia baadae
Kila lakheri mkuu. Naamini your to win.Wakuu
Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama M 40
Na sasa nataka kubet kwenye kilimo
Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu
Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu
Eneo SINGIDA kwetu kabisa
Matumizi (makadirio ya juu kabisa) kwa ekari 50
[emoji117]Kukodi shamba m 2.5
[emoji117]Kulima shamba m 2.5
[emoji117]Kupanda m 1
[emoji117]Kupalilia shamba m 2.5
[emoji117]Mbegu lk 7
[emoji117]Uvunaji/upakiaji m 2
[emoji117]Mengineyo m 2
Jumla milion 13.2
Jumlisha hidden cost jumla iwe milioni 15
MAVUNO (makadirio ya chini)
Eka moja gunia 7 badala ya 15 za wataalamu
Ekari50 x Gunia 7
Jumla inakua gunia 350
Wastani gunia moja hutoa mafuta dumu 2 bei makadirio ya chini sh elf 50 kwa dumu( dumu linakwenda hadi laki+)
350 x 2 inakua dumu 700
Dumu700 x elf50 unapata Sh M35
Hapo nime assume mashudu yamelipia gharama ya ukanuaji
JUMUISHO
M35 -M15 = M20 Faida
DENGU
Ukitoa tu alizeti unavizia nvua za mwishoni kabisa unalima dengu shamba hilo hilo hulipi gharama za kukodi tena
[emoji117]Kulima m 2.5
[emoji117]Mbegu m 2
[emoji117]Kupanda lk 5
[emoji117]Madawa (emergency) m2
[emoji117]Kuvuna/kupakia 2m
[emoji117]Mengineyo m 1
Jumla m 10
Hidden cost m 2
Jumla m 12
MAUZO
Wastani gunia 4 kwa eka badala ya gunia 8 hadi 10 kwa eka za wataalamu
Ekari50 x Gunia 4 unapata gunia 200
Gunia la dengu lina wastani wa sh Laki 1
Laki 1 x gunia 200 unapata M 20
JUMUISHO
M20 - M12 = M8 Faida
FAIDA KUU (alizeti na dengu)
M20 +M8 = M28
NB
Nimeweka makadirio ya juu sana kwenye matumizi
Na nikaweka makadirio ya chini sana kwenye mavuno na bei
Dua zenu jamani
Ntaleta MREJESHO iwe nime Lost au nime Win
Mwaka Jana Hysan 33 iliuzwa 35 per kg so usishangae Kama imefika 40Uyo wa mbegu kanitisha..
Mbegu 1kg 40k..
Hakuna taarifa yyte kuhusu zile mbegu za serikali?
Hiyo agwara ipo jeHiyo hysun 33 ndio watu waliisifia sana humu ndani..lakini nimeona na agwara 4 nayo iko gud