Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
Hio ndio bei nauzia watu shambani kwangu1000-1500. Wewe unauza soko gani?
Nije ninunue papai la 3k
Yeye anaenda kuuuza 2500 mpaka 3000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ndio bei nauzia watu shambani kwangu1000-1500. Wewe unauza soko gani?
Nije ninunue papai la 3k
Nipo seriously mno sema mapapi hayo hayajaoza mkuu ?Utaendelea kulalamikia serikali, kumbe shida iko kwako
Ukitaka kupata hela uje whatsapp naona hauko sweious kabisa na maisha
SauwaNipo seriously mno sema mapapi hayo hayajaoza mkuu ?
Ahahaha show show...Aje whatsapp nimnyooshe
Ahahahahah au nakuonea mkuuMkuu wewe ni umbwa sana😜
Another Motivational speaker.Haya kama mlivyosoma ni kweli
Hakuna biashara ina hela kama mapapai
Na hakuna biashara rahisi kama papai
Papai moja shamba linauzwa tsh 1500 moja
Mtaani wanauza tsh 3000 moja
Kilimo chake rahisi sana ila usilime wakati wa mvua, papai inataka maji kidogo tu kwa siku
Mbolea sio sana mche wa papai tsh 3000 mmoja
Sasa endelea kusema maisha magumu, nimekaa pale youtube uje nakufundisha kupata hela
😜 mkuu hiyo ni roho ya uzinzi nunua papai sepaAhahaha show show...
Napendaga kale kanguo kako ka manyoya ka pink
Kuna mambo yanakuja automatically mkuu....😜 mkuu hiyo ni roho ya uzinzi nunua papai sepa
Hii ni biashara ya shambaKwenye makaratasi hakuna biashara isiyolipa...
KoufeeeerAno
Another Motivational speaker.
Mpaka elfu 4 boss mtaani kwetuWa huko papai limauzwa 3000?
Nililima hizo Papai.Sina hamu.Rahisi sana kusema au kuandika,ingia uwandani sasa!
Masaki au mbezi beach? Huku kwetu uswaz ukiuziwa buku jero unalalamika balaaMpaka elfu 4 boss mtaani kwetu
AmeeeeenWengi hamuamini kama jamaa anaingiza hiyo hela, inawezekana mlipigwa matukio kwenye parachichi na tikiti maji , ila kilimo ukifanya kisomi kinalipa sana msikate tamaa jaribu tuu na ni bora kuliko kuajiriwa