Marchey
Senior Member
- Jul 17, 2024
- 171
- 355
Papai kama hili lina vidotidoti lazima liwe tamu, weka link sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papai kama hili lina vidotidoti lazima liwe tamu, weka link sasa
PoyeeeNna bundle la JF, halifanyi kazi nje
Link iko youtube sina hapaPapai kama hili lina vidotidoti lazima liwe tamu, weka link sasa
Labda ni pears 🍐
😀 😀 😀 Naijua hiyo ,kwa undani soma kitabu cha ujasusi wa kidola na kuichumi.Wacha tupige hela tukishakuwa matajiri tutawaita
Njoo inbox nikupe link ya youtube channel yanguSasa YouTube napajuaje, au nikasearch papai za JF
Nimekimaliza ni noma
Mbegu za asili OPV heirloom papai zinakuwa ndogo na zinaharibika haraka haziuzwi 3000 bei ya jumla. Labda supermarket.Tumia mbegu za kwetu sio za ulaya unafeli ndio maana hauuzi
Labda ni pears 🍐
Inbox gani?Njoo inbox nikupe link ya youtube channel yangu
kila siku unapata mavuno siku zote za mwaka?Kwa siku mapapai pisi 497 boss
Yaani miti 15 ya mipapai kwa siku
Kuosha vyombo tu, kupika aaaaNipigie baade naosha vyombo 😹
Yombo na Buza wananunua papai soko la Stereo Temeke.Utakuwa unaishi yombo au buza
Papai tsh 100
Wewe nawe. Ukulima na wewe wapi na wapi. Wewe si ndiyo wale wanaodhani miche ya maharage ina ukubwa wa mti. wa embe!Muulizeni ila sisi watoto wa wakulima tunaelewa kila kitu ,. kudanganyika sio rahisi hivyo
Ndo ushanikosa hivyo. Video za mafunzo zipo kibaoUtajiju, hakuna cha bure mjini
Yombo na Buza wananunua papai soko la Stereo Temeke.
Hakuna papai ya bei ndogo bei ya jumla chini ya 500 na hakuna ya bei kubwa kufikia 3000 mbegu za asili.
Wewe waite watu waje subscribe YouTube channel yako wajifunze kilimo lakini usiweke bei za uongo utaumiza watu kisaikolojia mapato yakiwa kinyume na matarajio.
Kuliaje sasaKizuri kula na wenzio boss
Acha kulia lia
Platinum MemberWewe nawe. Ukulima na wewe wapi na wapi. Wewe si ndiyo wale wanaodhani miche ya maharage ina ukubwa wa mti. wa embe!
Karibu kwetu Goba.Utakuwa unaishi yombo au buza
Papai tsh 100