Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Naiomba sana Tanzania Impeleke Dkt. Gwajima D pale WHO -Africa

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekuwa na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kuwa Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo, kinachombeba ni kuwa sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.


Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Mnataka kuigeuza WHO iwe CCM B?

Alafu hivyo vyeo washaanza kucheki na afya.. umtakaye atakubali kupimwa India?
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.


Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Hivi ni lazima atoke CCM au awe mwanasiasa? NB: Nikifananisha DR Gwajima na na majina ya wengine wa CCM waliotajwa, huyu ndiyo bora kabisa.
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Nakuunga Mkono 100%..
Ni aidha Gwajima au Janabi
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Dkt. Gwajima D
 
Kwanza nikiri, Mimi sio muumini wa wale wanaochagua viongozi based on sex .

Mimi ni Pro- Qualifications.

Hakuna asiyejua Uwezo wa Waziri huyu, Muwazi, Mchapa kazi, Mwenye maono, anayechukia Rushwa , Anayejiamini , Msafi asiyekua na Mawaa.

Huyu Mama kama angeendelea kua Wizara ya Afya, baadhi ya madudu yanayoendelea kwenye Sekta ya Afya yasingekuwepo , kinachombeba ni kua sekta hii ya Afya, anaijua vilivyo.
Anajua Kingereza?
 
Back
Top Bottom